Tetemeko la Ardhi Bukoba: Rais aahirisha kwenda Zambia, kuwakilishwa na Makamu wa Rais

Hakika Jamii Forum ni chombo safi cha mawasiliano, Asante sana Mh. Rais kwa kusikiliza maombi yetu. Tunakuomba uendelee kutusikiliza hata kwa mambo ya uchumi jinsi tunavyokushauri, hali ni tete mtaani
 
Amefanya vyema
Kafanya vyema kivipi? Bukoba kawakilishwa na PM, Zambia kawakilishwa, hata haelezi kuwa amefanya hivo ili afanye nini. Maafa yalitokea, what we saw ni press release ya ikulu kutoa pole. Watu wameswgwa kweney floor za hospital bila msaada wowote, IKULU inakazana kutoa press release, REALLY??

Kitengo cha maafa kiko chini ya Waziri Mkuu, that is perfect person to handle it. Maafa hayo ni makubwa, kuna video imezunguka huku ikionyesha wahanga wakiwa kwenye floor za hospital bila huduma yoyote. So kwa Raisi kusema ameacha kwenda Zambia ili kushughulikia tatizo hilo sijui hata ana maana gani. Naomba kujuzwa
 
Kitendo cha Rais kuahirisha safari kwasababu ya madhara yaliyotokea kutokana na tetemeko la ardhi ni kitendo cha kuigwa na wa Tanzania wote.

Kwamba katika vipindi vya matatizo watanzania na viongozi wote tuguswe na kushikamana ili kudumisha umoja na mshikamano wa kindugu tulioachiwa na waasisi wa taifa letu.

Viva Mh. Rais wetu.
 
Kafanya vyema kivipi? Bukoba kawakilishwa na PM, Zambia kawakilishwa, hata haelezi kuwa amefanya hivo ili afanye nini. Maafa yalitokea, what we saw ni press release ya ikulu kutoa pole. Watu wameswgwa kweney floor za hospital bila msaada wowote, IKULU inakazana kutoa press release, REALLY??

Kitengo cha maafa kiko chini ya Waziri Mkuu, that is perfect person to handle it. Maafa hayo ni makubwa, kuna video imezunguka huku ikionyesha wahanga wakiwa kwenye floor za hospital bila huduma yoyote. So kwa Raisi kusema ameacha kwenda Zambia ili kushughulikia tatizo hilo sijui hata ana maana gani. Naomba kujuzwa
Mchochozi utaitwa muda si mrefu...t
 
baada ya kusemwa sana humu jf kaona aibu kaamua kuahirisha,hata hivyo ni nafuu kwake maana mishipa ya shingo ingemuuma huko kuunganisha adjectives,tenses,gramar na mambo mengine kama hayo!!!!
 
Kitendo cha Rais kuahirisha safari kwasababu ya madhara yaliyotokea kutokana na tetemeko la ardhi ni kitendo cha kuigwa na wa Tanzania wote.

Kwamba katika vipindi vya matatizo watanzania na viongozi wote tuguswe na kushikamana ili kudumisha umoja na mshikamano wa kindugu tulioachiwa na waasisi wa taifa letu.

Viva Mh. Rais wetu.

Nonsense
 
chinyika
Tunataka HUDUMA za kibinadam kwanza kwa hawa WAHANGA
PM jana kaenda mikono mitupu na hajatoa plan yyt ya maana kuwasaidia WAHANGA wale zaidi ya porojo
Kwa sasa wanahitaji sana chakula,mavazi,malazi na matibabu
Je wameanza kupata huduma hizo?
Kama Rais atabaki lkn huduma za WAHANGA haziimariki ni bora tu ajiendee Zambia
 
ahaha ahaaa aahaaa mi nilitaka aende ili aka prove wrong kuwa ki-ENGLISH sio tatizo...ila all in all safi sana u taifa kwanza...Mungu awaepushe na maafa zaidi huko bukoba
MIE NILITAKA HII HABARI ISEME MAKAMU WA RAISI AMEAHISHA KWENDA BUKOBA AKIMBILIA ZAMBIA MAANA OFISI YAKE INAYULE WAZIRI ALIYESTUKIZA NA TETEMEKO MAGOMENI SASA AKAJENGE NYUMBA ZA BUKOBA
 
ahaha ahaaa aahaaa mi nilitaka aende ili aka prove wrong kuwa ki-ENGLISH sio tatizo...ila all in all safi sana u taifa kwanza...Mungu awaepushe na maafa zaidi huko bukoba
MIE NILITAKA HII HABARI ISEME MAKAMU WA RAISI AMEAHISHA KWENDA BUKOBA AKIMBILIA ZAMBIA MAANA OFISI YAKE INAYULE WAZIRI ALIYESTUKIZA NA TETEMEKO MAGOMENI SASA AKAJENGE NYUMBA ZA BUKOBA
 
Habari za hivi punde ni kwamba Rais Magufuli ameahirisha kwenda Zambia badala yake kuungana na watanzania katika kipindi hiki kigumu baada ya mikoa ya Kagera na Mwanza kukumbwa na tetemeko la ardhi lililosababisha vifo na majeruhi pamoja na kuharibu mali.

Rais atawakilishwa na Makamu Samia Suluhu



View attachment 398334


Cheo cha Jaffar Haniu ni 'Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi' au 'Mwandishi Msaidizi wa Habari wa Rais au Mwandishi wa habari Msaidizi wa Rais'? Kiswahili nacho kinawashinda waandishi wa Habari waliobobea?
 
Hivi kabla hawajatoa taarifa za yeye kwenda huko Zambia hawakujua kuwa kuna tukio limetokea jana yake ambapo watu walikufa?
 
Hapo kuna viherehere wameumbuka maana walisubiri tu aende waanze kuropoka kwemye vyombo vya habari, wamebadilishiwa gea angani.
 
Malafyale, tudumishe uzalendo, sote tuna wajibu wa kusaidia wahanga. Si serikali na viongozi pekee.
 
Back
Top Bottom