OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,169
- 103,628
Habari za hivi punde ni kwamba Rais Magufuli ameahirisha kwenda Zambia badala yake kuungana na watanzania katika kipindi hiki kigumu baada ya mikoa ya Kagera na Mwanza kukumbwa na tetemeko la ardhi lililosababisha vifo na majeruhi pamoja na kuharibu mali.
Rais atawakilishwa na Makamu Samia Suluhu
Rais atawakilishwa na Makamu Samia Suluhu