Tenga aridhia maelekezo ya serikali

Kessy Francis ebu jikumbushe matatizo ya uongozi yaliyokuwapo kabla ya Tenga, kisha umshambulie Tenga Kama ulivyofanya! Kweli watu ni rahisi kusahau!
 
Endelea na upuuzi wako. Tunasubiri TFF iongozwe na nyinyi vichwa vya panzi baada ya kutengwa na kujitenga na jamii ya soka ulimwenguni. Inawezekanaje Tenga afanye yote hayo huku mnamtazama hadi hali inakuwa hivi?

Wenye akili tunajua kilichonyuma ya pazia. Tenga amefanya vizuri kiasi, sasa angeachia kila kitu ili serikali hii dhaifu iinie mkenge inaoutafuta
Malinzi na jamaa zake wamesubiri mkono udondoke washibe tenga anaendelea kutembea hadi wamehamaki. Wababaishaji na makanjanja waliokua likizo sasa wanajiandaa kushughulikia soka la TZ. Shukrani kwa Amos Makala.
 
Bora tufungiwe tu, mpira wenyewe hauna tija hata chembe! Tukae kandoo kwa muda, tujipange vizuri.
 
Swala la muhimu hapa je TENGA alifuata utaratibu wa kisheria? Kama la kwa nini na kwa manufaa ya nani? Je mbona anaogopa Wajumbe walimchagua hapo awali??
Tenga, Tenga mbona karidhia kama unavyotaka sasa endeleeni bila Tenga. Na yeye hagombei po pote povu la nini?
 
Malinzi hana vigezo kwa mujibu wa katiba ya sasa ya tff ambayo inamtaka kiongozi wa Tff awe amewahi kuwa kiongozi kwenye mambo ya mpira wa miguu kwa angalau miaka 5, malinzi ameshindwa kuthibisha kama amewahi kuongoza kwa kipindi hicho.
Anachofanya makala ni kutetea tumbo lake tu
 
Ndinani issue hapa si Malinzi kwenda TFF kuiba ama vinginevyo, kama ni mwizi mbona hajawahi kushtakiwa mahali popote achilia mbali kutiwa hatiani na kufungwa. Chuki zenu kwa Malinzi zisiwafanye kuwa vipofu hata kwa mambo yaliyo wazi kiasi hiki.
Hapa tunazungumzia TFF kuifuata kikamilifu katiba yao iko wazi sana juu ya utaratibu wa kuifanyia mabadiliko hata mhitimu wa darasa la saba bajua utaratibu huo wa kikatiba wa namna ya kuifanyia marekebisho katiba ya TFF.

Hakuna kifungu kinachoelekeza kurekebisha katiba kwa waraka na hakuna mtu huru anayeweza kuthibitisha kwamba wajumbe waliokubali mabadiliko kwa njia ya waraka wanakidhi idadi(akidi)??
Mtu yeyote anayetetea huu uharamia unaofanywa na TFF ni dhahiri kwamba yeye ndiye anataka kutuibia watanzania kwa kutaka Nyamlani apate mteremko wa kuwa raisi.

Hivi nikiwauliza mnaogopa nini Nyamlani kushindanishwa na watu wengine mtanijibu nini???

Mwita, hakuna kifungu kinachoelekeza wala hakuna kifungu kinachokataza kuwa maamuzi hayawezi kufanywa kwa njia ya RESOLUTION; utaratibu wa namna hiyo hata FIFA wanauafiki ama sivyo TFF wasingeutumia. Kuhusu idadi ya wajumbe walioafiki kubadilishwa kwa katiba kwa mtindo huu, the majority waliafiki na ndio maana ikabadilishwa kama ilivyopendekezwa ama sivyo kama wasingekuwa na majority ya wajumbe walioafiki TFF wasingetekeleza mabadiliko yaliyopendekezwa!

Wakina Malinzi mara nyingi wanatumia pesa kupata uongozi mahala popote wanapousaka; iwe GYMKHANA club hata kule YANGA , kwahivyo kwa wao kutumia pesa kupata uongozi wa aina yeyote ile ni investment ambayo lazima iwe na return na return anayoitaka Jamal kule TFF sio kuendeleza soka bali kwenda kukomba fedha[ $$$$$$] na hilo yeye mwenyewe katika nafsi yake anajua ndicho kinachomsukuma!
 
Mwita, hakuna kifungu kinachoelekeza wala hakuna kifungu kinachokataza kuwa maamuzi hayawezi kufanywa kwa njia ya RESOLUTION; utaratibu wa namna hiyo hata FIFA wanauafiki ama sivyo TFF wasingeutumia. Kuhusu idadi ya wajumbe walioafiki kubadilishwa kwa katiba kwa mtindo huu, the majority waliafiki na ndio maana ikabadilishwa kama ilivyopendekezwa ama sivyo kama wasingekuwa na majority ya wajumbe walioafiki TFF wasingetekeleza mabadiliko yaliyopendekezwa!

Wakina Malinzi mara nyingi wanatumia pesa kupata uongozi mahala popote wanapousaka; iwe GYMKHANA club hata kule YANGA , kwahivyo kwa wao kutumia pesa kupata uongozi wa aina yeyote ile ni investment ambayo lazima iwe na return na return anayoitaka Jamal kule TFF sio kuendeleza soka bali kwenda kukomba fedha[ $$$$$$] na hilo yeye mwenyewe katika nafsi yake anajua ndicho kinachomsukuma!

Tusifikiri kwa kutumia makamasi JE ANACHOFANYA TENGA NI SAHIHI???
 
Tusifikiri kwa kutumia makamasi JE ANACHOFANYA TENGA NI SAHIHI???


Usiwe mvivu wa kufikiri,TFF sio Tenga bali ni institution inayoendeshwa kwa kanuni na taratibu. Tenga ni mtu mmoja tu na hivyo kufikiri kuwa mtu mmoja ndio anayetoa maamuzi yote ya TFF ni kupotosha ukweli!!
 
Malinzi hana vigezo kwa mujibu wa katiba ya sasa ya tff ambayo inamtaka kiongozi wa Tff awe amewahi kuwa kiongozi kwenye mambo ya mpira wa miguu kwa angalau miaka 5, malinzi ameshindwa kuthibisha kama amewahi kuongoza kwa kipindi hicho.
Anachofanya makala ni kutetea tumbo lake tu

Mkuu nemasisi ngoja nikueleze uzoefu wangu kisha ndo unihukumu:
1999-2001mjumbe baraza la ushauri Yanga
2001-2003 mkurugenzi wa kuchagulia na kaimu katibu mkuu Yanga
2003-2005 katibu mkuu Yanga
2008-2010 mwenyekiti,competitions commitee,Coast Region Football Association
2009-2012 member,Dar es salaam region sports council
2011-leo mjumbe wa mkutano mkuu Kagera tokea wilaya ya Missenyi
2012-leo mwenyekiti chama cha mpira mkoa wa kagera.
Vielelezo vyote vipo.
Ndugu yangu hebu jumlisha mwenyewe hiyo miaka kisha unipe jibu.
Jamal Malinzi
 
Last edited by a moderator:
Mwita, hakuna kifungu kinachoelekeza wala hakuna kifungu kinachokataza kuwa maamuzi hayawezi kufanywa kwa njia ya RESOLUTION; utaratibu wa namna hiyo hata FIFA wanauafiki ama sivyo TFF wasingeutumia. Kuhusu idadi ya wajumbe walioafiki kubadilishwa kwa katiba kwa mtindo huu, the majority waliafiki na ndio maana ikabadilishwa kama ilivyopendekezwa ama sivyo kama wasingekuwa na majority ya wajumbe walioafiki TFF wasingetekeleza mabadiliko yaliyopendekezwa!

Wakina Malinzi mara nyingi wanatumia pesa kupata uongozi mahala popote wanapousaka; iwe GYMKHANA club hata kule YANGA , kwahivyo kwa wao kutumia pesa kupata uongozi wa aina yeyote ile ni investment ambayo lazima iwe na return na return anayoitaka Jamal kule TFF sio kuendeleza soka bali kwenda kukomba fedha[ $$$$$$] na hilo yeye mwenyewe katika nafsi yake anajua ndicho kinachomsukuma!
Toka FIFA ianzishwe tarehe 21/May/1904 hata siku moja haijawahi kubadili katiba yake kwa njia yoyote ile zaidi ya kutumia congress ( kwenye katiba ya TFF inaitwa General Assembly/mkutano mkuu).
Ndinani kama una ushahidi to the contrary umwage hapa.
Mambo ya ku personalise issues huwa siyapendi kwa hiyo kwa hayo mengine uliyosema sitakujibu chochote.
 
Last edited by a moderator:
Kessy Francis ebu jikumbushe matatizo ya uongozi yaliyokuwapo kabla ya Tenga, kisha umshambulie Tenga Kama ulivyofanya! Kweli watu ni rahisi kusahau!
Alikwenda Ghana kufungua kituo cha michezo ambacho nasi tulipewa pesa sawa za kujenga kituo kama hicho, cha ajabu cha kwetu hakionekani ila anajenga ghorofa kariakoo, kuulizwa anasema sio lake bali la mke wake, tehe tehe tehe tehe dhihaka hizi kaka.
 
Back
Top Bottom