Tendo la Ndoa baada ya kujifungua

Kifulambute

JF-Expert Member
May 8, 2011
2,539
755
habari wana Jamii, jamani naomba mnisaidie ili niweze kumpa ushauri rafiki yangu...maana nimebaki mdomo wazi aliponiuliza hili swali. eti inachukua muda gani baada ya mwanamke kujifungua hadi anapoweza kufanya tendo la ndoa? rafiki yangu ana kama mwezi mmoja toka demu wake ajifungue.
 
habari wana Jamii, jamani naomba mnisaidie ili niweze kumpa ushauri rafiki yangu...maana nimebaki mdomo wazi aliponiuliza hili swali. eti inachukua muda gani baada ya mwanamke kujifungua hadi anapoweza kufanya tendo la ndoa? rafiki yangu ana kama mwezi mmoja toka demu wake ajifungue.

hili mbona limeshajibiwa sana humu jf? Search thread zilizopita mkuu
 
Kiutalaam kwa mwanamke aliejifungua kwa njia ya kawaida,viungo vyake vya uzazi hurudi katika hali ya kawaida baada ya majuma sita (siku 42). Ni hapo ndipo anapoweza tena kushiriki tendo la ndoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom