Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
habari wana Jamii, jamani naomba mnisaidie ili niweze kumpa ushauri rafiki yangu...maana nimebaki mdomo wazi aliponiuliza hili swali. eti inachukua muda gani baada ya mwanamke kujifungua hadi anapoweza kufanya tendo la ndoa? rafiki yangu ana kama mwezi mmoja toka demu wake ajifungue.