Hapana. VISA unabadili password vile vile.Niliwauliza.....
Kimsingi ukitaka kuwa na VISA na MASTERCARD kwa pamoja inabidi uwe na kadi mbili....mastercard ina 'option' ya kubadili 'password' ila VISA huwezi kubadili....
Otherwise, faida ya wazi ni kwa wale wasafiri wa nchi mbalimbali...
Visa kwa nchi za nje faida yake ni kwamba unaweza kua na credit hivyo hata kama huna pesa bado unaweza kufanya mambo yako na kulipa baadae...Mastercard unaweza kutumia ulichonacho tu.Kwa hapa kwetu sijui maana mi bado pesa zangu naficha chini ya kitanda![/QUOTE]
Well said Lizzy, yaani wewe kama mimi tu, mara mia ufiche chini ya kitanda kuliko karaha ya hizi
benki za bongo! Nilishaacha kuweka pesa benki kitambo!
Hapana. VISA unabadili password vile vile.
ndiyo nikawa nakumbushia ile advert ya hii product kwenye radio. Maana nilikuwa nikijiuliza wanaterget watu gani wanaofanana na advert!!!? ..."mwenye GX100, nyumba, wakili nk"Visa kwa nchi za nje faida yake ni kwamba unaweza kua na credit hivyo hata kama huna pesa bado unaweza kufanya mambo yako na kulipa baadae...Mastercard unaweza kutumia ulichonacho tu.Kwa hapa kwetu sijui maana mi bado pesa zangu naficha chini ya kitanda!
Visa kwa nchi za nje faida yake ni kwamba unaweza kua na credit hivyo hata kama huna pesa bado unaweza kufanya mambo yako na kulipa baadae...Mastercard unaweza kutumia ulichonacho tu.Kwa hapa kwetu sijui maana mi bado pesa zangu naficha chini ya kitanda!
Visa kwa nchi za nje faida yake ni kwamba unaweza kua na credit hivyo hata kama huna pesa bado unaweza kufanya mambo yako na kulipa baadae...Mastercard unaweza kutumia ulichonacho tu.Kwa hapa kwetu sijui maana mi bado pesa zangu naficha chini ya kitanda!
Kampuni zote mbili zina debit na credit cards! Debit cards ndo unatumia ulichonancho. Credit card ni mkopo tu. Kwa hiyo ukichanja kutumia CC, iwe ya Visa, Mastercard, Discover, Amex, n.k. ujue utadaiwa. Ni vema kuepuka kuwa na credit card na sidhani kama wabongo wengi wako creditworthy hata kupata hiyo credit card.
Na kampuni zote ni major na zote ni za Marekani!!!!
Mhhhhhhhhhhhh................ hapo nilipochora mstari.............no comment!!
Hapa sijakuelewa mkuu!Kampuni zote mbili zina debit na credit cards! Debit cards ndo unatumia ulichonancho. Credit card ni mkopo tu. Kwa hiyo ukichanja kutumia CC, iwe ya Visa, Mastercard, Discover, Amex, n.k. ujue utadaiwa. Ni vema kuepuka kuwa na credit card na sidhani kama wabongo wengi wako creditworthy hata kupata hiyo credit card.
Na kampuni zote ni major na zote ni za Marekani!!!!
Umesoma vizuri niliposema Visa "UNAWEZA kua na credit"??Sijasema ni lazima..nimesema unaweza!Na swala kua common wapi sina hakika nayo maana najua Europe wanatumia zote.Siyo kweli dada. Zote zinafanana kimatumizi isipokuwa Visa ni common Europe na M-card ni common USA.
Ukiwa na debit au credit card yenye balance ndio utaweza tumia, kama haina balance huwezi tumia iwe ni Visa au M-card.
Hapa sijakuelewa mkuu!
Ufafanuzi bado haujajitosheleza.
Wengi mnatupa maana ya debit card na credit card bila kujali ni Visa ama Master. Mtoa hoja anataka mtujuze "huduma atoazo crdb za visacard na mastercard zina tofauti gani"?
Manake nasikia unatakiwa akaunti isipungue kiasi fulani. Wenye kujua tusaidieni tafadhali!!!!!!!!!!!!!!!!
Hili jibu nimelipata CRDB mazee...
Ila pia kwa wale watumiaji wa TemboCARD VISA hawana option ya kubadili password.....try it, naweza kuwa nilikosea!