commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
wakuu nashangaa ni kwa nini vituo vyetu vya televisheni ikiwemo TBC ambayo inaendeshwa kwa kodi za walalahoi wao saa zote jioni wanatuonyesha bongofleva tu.
Leo kuna mechi muhimu ya waatani wa jadi kati ya simba na yanga lakini washa vituo vyetu usikie kinachoendelea ni ma bongofleva tupu je wadau tatizo hapa ni nini.au kuna sheria ya udhamini inayowabana?
Leo kuna mechi muhimu ya waatani wa jadi kati ya simba na yanga lakini washa vituo vyetu usikie kinachoendelea ni ma bongofleva tupu je wadau tatizo hapa ni nini.au kuna sheria ya udhamini inayowabana?