johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,626
- 142,967
Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania katika Waraka wake wa Kwaresma limesema Wizi wa Kura na Watu kukatisha Maisha ya Wengine ni Donda ndugu nchini Tanzania na Africa
TEC imesema kinachosababisha Hili Donda ndugu ni Watu kutomjua Mungu na Tamaa za Uongozi wa Kisiasa kwa Maslahi Binafsi na ya kifamilia
Chanzo: Mwananchi
TEC imesema kinachosababisha Hili Donda ndugu ni Watu kutomjua Mungu na Tamaa za Uongozi wa Kisiasa kwa Maslahi Binafsi na ya kifamilia
Chanzo: Mwananchi