hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM.
Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe.
Ashikilie hapo hapo.
Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe.
Ashikilie hapo hapo.