Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Dube alikufa kwa bahati mbaya sana na kifo cha kizembe sana. Wrong place at wrong time.....
Brazil Romario yule mcheza mpira alikuwa anajisifu sana kuwa yeye ni zaidi ya Pelle. Siku moja hawa vibaka wa magari na bastola zao wakamvamia ili wachukue gari na walipoangalia upande wa abiria wakamuona Pelle, wakamsalimia na kumwita "King, kumbe upo ndani? Nendeni...."
Wiki mbili baadaye wakamvamia tena Romario akiwa peke yake, gari ikaenda. Kwa hela za Lucky Dube, alikuwa hatakiwi kabisa kubishana nao ila kuwapa tu hilo KOPO na wakamuacha na uhai wake maana au angelipata au angenunua jingine maana alikuwa na hela nzuri tu. Ila kama siku zako zimefika....
Brazil Romario yule mcheza mpira alikuwa anajisifu sana kuwa yeye ni zaidi ya Pelle. Siku moja hawa vibaka wa magari na bastola zao wakamvamia ili wachukue gari na walipoangalia upande wa abiria wakamuona Pelle, wakamsalimia na kumwita "King, kumbe upo ndani? Nendeni...."
Wiki mbili baadaye wakamvamia tena Romario akiwa peke yake, gari ikaenda. Kwa hela za Lucky Dube, alikuwa hatakiwi kabisa kubishana nao ila kuwapa tu hilo KOPO na wakamuacha na uhai wake maana au angelipata au angenunua jingine maana alikuwa na hela nzuri tu. Ila kama siku zako zimefika....
Sasa hivi kuna wanae wanaimba ila wao siyo wana siasa. Kuna Nkulee Dube na Bongi Dube na hapa chini, binti Nkulee akiimba wimbo wa baba yake....
http://www.youtube.com/watch?v=H4-sGiIVn3Y&feature=related
http://www.youtube.com/watch?v=H4-sGiIVn3Y&feature=related
Hahahahahahaha Mwalimu wangu hapa umenisimanga bure tu!
Ila nnachokupendea sio mchoyo wa elimu.
Hiyo stori ya hao majambazi niliwahi kuisikia ila hawa watu wangu wananiyumbisha kuwa jembe kama Dube lisingeweza kufa kwa kisa cha kimaandazi kama hicho.
So nkaja hapa kama kuna mtu ana "ukweli" zaidi ya huo anipe ya nyuma ya pazia kama yapo.
Ila ahsante sana Mwalimu wangu.