Tcu wapewe meno elimu ya juu

iphone

Member
Nov 8, 2011
19
0
Habari wanajf,
Jamani mimi kama mlezi wa ndugu yangu anayesoma chuo cha sayansi na tiba IMTU,nimejionea kwa macho yangu uozo na wizi unafanywa na mwekezaji wa kihindi kama viginard foundation??chuo hakina hadhi ya university?cha ajabu majengo ni ya NHC,wahadhiri ni wa kitanzania ukiacha wawili wa kihindi lakini ada iko juu 7.2M na ni kwa dollar.Naishukuru serikali kwa maamuzi yake magumu kidogo ila tunaomba taasisi ya vyuo vikuu nchini kuchua hatua madhubuti na kutekeleza wajibu wao kiuzalendo na zaidi naomba kujua kama NSSF wanalipwa mafao ya wafanyakazi dolla na NHC majengo yanalipiwa pia kwa dolla??
 
ningekuona mwerevu kama ungeongelea pia maswala ya wakina Mkulo kuchukua fedha za mishahara na kujiingiza kwenye biashara kama kuagiza sukari na mafuta! Hii inasababisha ugumu wa maisha na kuporomoka kwa uchumi maana uingizaji wa bidhaa za nje holela unasababisha mahitaji ya dollar kuongezeka! Na ukizingatia matumizi yanazidi ukusanyaji wa kodi na uuzaji wa bidhaa za ndani nje! Haya ni matatizo makuu yanayosababisha Tshs inaporomoka kila kukicha na kusababisha vyuo binafsi kuwa katika wakati mgumu kiuendeshaji maana wanashindwa hata kuweka bageti we fikiria US$1= >1700 Tshs sasa! Tusiwe tunashangilia maamuzi ya kisiasa kwenye masuala ya kiuchumi maana at the end of the day tunaoumia ni sisi kwa vile hicho chuo kitashindwa kujiendesha na kusababisha kufungwa!
 
Back
Top Bottom