namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
kwa wale walioomba transfer kupitia tcu nadhani watakuwa na taarifa muhimu toka tcu,kuna wale waliomba mwanzoni kabisa majina mia 7 hivi yametoka kwenye net,kuna tuliochelewa kidogo kabla hawajafunga hilo zoezi,nashangaa sioni majina kwenye web yao zaidi tu yale ya mwanzo,jamani kuna taarifa zozote basi mtujuze wanajamvi wenzangu. mia