TCU vipi majina bado walioomba Transfer?

namanyele

JF-Expert Member
Oct 19, 2012
1,852
608
kwa wale walioomba transfer kupitia tcu nadhani watakuwa na taarifa muhimu toka tcu,kuna wale waliomba mwanzoni kabisa majina mia 7 hivi yametoka kwenye net,kuna tuliochelewa kidogo kabla hawajafunga hilo zoezi,nashangaa sioni majina kwenye web yao zaidi tu yale ya mwanzo,jamani kuna taarifa zozote basi mtujuze wanajamvi wenzangu. mia
 
Oya mie nimefanyiwa transfer ila nashangaa tcu halijatoa majna ya mwisho zaidi jna langu nimelikuta chuo nilichoomba kuhamia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom