Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Ukiangalia kwa makini Tangazo lililotolewa na TCU kwa Umma wa Watanzania na kilichofanyika hadi leo utashangaa. Kwa nini wasitoe tangazo jingine kuwaomba radhi wananchi wa Tanzania? Hebu angalieni tangazo hili hapa chini
Public Announcement on Second round of Application for 2011/2012 Admissions
The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform the general public that the selection process under the first round of applications through the Central Admission System (CAS) has been completed and names of selected applicants will be released on 4[SUP]th[/SUP] August 2011.
kwenye hapo red kama ni kweli tatizo ni nini hasa? Acheni siasa, uongo, uongo, mnaufanya nyinyi alafu mnatarajia kuwafundisha ili wawe waadilifu? Mtatuzalishia watu kama Ngeleja, Jairo, n.k
Public Announcement on Second round of Application for 2011/2012 Admissions
The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform the general public that the selection process under the first round of applications through the Central Admission System (CAS) has been completed and names of selected applicants will be released on 4[SUP]th[/SUP] August 2011.
kwenye hapo red kama ni kweli tatizo ni nini hasa? Acheni siasa, uongo, uongo, mnaufanya nyinyi alafu mnatarajia kuwafundisha ili wawe waadilifu? Mtatuzalishia watu kama Ngeleja, Jairo, n.k