TCU malipo haya ya 20,000 matumizi yake ni yepi?

Mwaikibaki

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
2,982
3,640
Wadau,

Asuhuhi hii nimepigiwa simu na bwana mdogo ambaye anakaribia kuhitimu chuo akiniambia wanatakiwa kulipa ada ya TCU sh elfu ishirini kwenye chuo husika.

Kijana huyu alijiunga maasomo ya masters mwaka 2014 wakati wa udahili joining instr. Ya chuo chao haikuweka bayana ila hivi karibuni ndio wameambiwa wanapaswa kulipa fedha hizo.

Je, hizi fedha ni za nini hasa? TCU si inaendeshwa kwa kodi zetu?

Lengo ni kujua rationale ili nimlipie kama inavyoelekezwa.

Mwenye maelezo au kujua zaidi karibu.

Ahsante.
ae6d7518297bee5e41528296ab86bc5f.jpg
 
Mbona uko JF miaka mingi! Unakosa akili ya uchambuzi kiasi hicho?
Hata kama ni kidogo, ni pesa za kitu gani kwa taasisi ya serikali?
Duh.....Mkuu kwani kuna tatizo kulipa lipeni hata Mimi nimelipa sana.
 
TCU wana ada nyingi na za ajabu sana. Watanzania huwa tunaona ni kawaida. Kuna ile ya kuhakiki cheti cha nje, yenyewe inafika Tshs 150,000. Huu ni upuuzi wa kutunga vimichango. Eti wanasimamia ubora au ndio wizi. Hivi tukiwaambia watupe breakdown ya matumizi ya hizo pesa kila mwaka kwenye huo ubora, is it justifiable?
 
Mbona uko JF miaka mingi! Unakosa akili ya uchambuzi kiasi hicho?
Hata kama ni kidogo, ni pesa za kitu gani kwa taasisi ya serikali?
Mkuu imebidi uangalie kwanza umember wake kupima ukomavu?
 
Unalipa kupitia akaunti ya chuo husika alafu chuo ndo kinapeleka TCU. Swali litaibua mengi huenda kuna ufisadi mkubwa unaofanywa na viongozi wa chuo kwa kushirikiana na TCU.
 
Wadau,

Asuhuhi hii nimepigiwa simu na bwana mdogo ambaye anakaribia kuhitimu chuo akiniambia wanatakiwa kulipa ada ya TCU sh elfu ishirini kwenye chuo husika.

Kijana huyu alijiunga maasomo ya masters mwaka 2014 wakati wa udahili joining instr. Ya chuo chao haikuweka bayana ila hivi karibuni ndio wameambiwa wanapaswa kulipa.fedha hizo.

Je hizi fedha ni za nini hasa ..TCU si inaendeshwa kwa kodi zetu?

Lengo ni kujua rationale ili nimlipie kama inavyoelekezwa.

Mwenye maelezo au kujua zaidi karibu.

Ahsante.
ae6d7518297bee5e41528296ab86bc5f.jpg
Wadau,

Asuhuhi hii nimepigiwa simu na bwana mdogo ambaye anakaribia kuhitimu chuo akiniambia wanatakiwa kulipa ada ya TCU sh elfu ishirini kwenye chuo husika.

Kijana huyu alijiunga maasomo ya masters mwaka 2014 wakati wa udahili joining instr. Ya chuo chao haikuweka bayana ila hivi karibuni ndio wameambiwa wanapaswa kulipa.fedha hizo.

Je hizi fedha ni za nini hasa ..TCU si inaendeshwa kwa kodi zetu?

Lengo ni kujua rationale ili nimlipie kama inavyoelekezwa.

Mwenye maelezo au kujua zaidi karibu.

Ahsante.
ae6d7518297bee5e41528296ab86bc5f.jpg
Tatizo ni TCU kujitungia utaratibu kuupitisha na matumizi ni yenyewe na kuanza kulazimisha wanafunzi kulipa.
TCU yenyewe inasifika kwa wizi mkubwa sana!
 
Watanzania tumezidi kulia lia sana, 20000 tu unalia, wakati kwenye Fiesta ukitozwa kama hiyo na wala hukuuliza siti na pia si ajabu ulimlipia na dem wako
 
Wadau,

Asuhuhi hii nimepigiwa simu na bwana mdogo ambaye anakaribia kuhitimu chuo akiniambia wanatakiwa kulipa ada ya TCU sh elfu ishirini kwenye chuo husika.

Kijana huyu alijiunga maasomo ya masters mwaka 2014 wakati wa udahili joining instr. Ya chuo chao haikuweka bayana ila hivi karibuni ndio wameambiwa wanapaswa kulipa.fedha hizo.

Je hizi fedha ni za nini hasa ..TCU si inaendeshwa kwa kodi zetu?

Lengo ni kujua rationale ili nimlipie kama inavyoelekezwa.

Mwenye maelezo au kujua zaidi karibu.

Ahsante.
ae6d7518297bee5e41528296ab86bc5f.jpg

Muulize bwana mdogo akupe ufafanuzi zaidi .
 
Tatizo ni TCU kujitungia utaratibu kuupitisha na matumizi ni yenyewe na kuanza kulazimisha wanafunzi kulipa.
TCU yenyewe inasifika kwa wizi mkubwa sana!
mkuu hiyo ni ANNUAL COMMISSION FEE kama inakuumiza usilipe tuu,badala ya kumuuliza huyo dogo unaleta povu humu ,dawa yake usilipe tu dogo arudi nyumbani
 
Back
Top Bottom