TCRA imemshitaki Polepole, Polepole akajitetea kwa TCRA, halafu TCRA ikamhukumu! That is no right! Kuna tatizo kubwa sana.
Muhusika amesoma kwa maringo sana juu ya mwenendo mzima wa maamuzi ya TCRA lakini mwishoni mtu unaona ni kama upuuzi wa aina fulani vile. Haijulikani makosa yameanzia kwa nani au chombo gani au taasisi gani. Yaani kuna mtu anaamua kusema una makosa, halafu utajitetea kwa nani sasa! Yaani TCRA ajione amekosea kwa Polepole!
Muhusika amesoma kwa maringo sana juu ya mwenendo mzima wa maamuzi ya TCRA lakini mwishoni mtu unaona ni kama upuuzi wa aina fulani vile. Haijulikani makosa yameanzia kwa nani au chombo gani au taasisi gani. Yaani kuna mtu anaamua kusema una makosa, halafu utajitetea kwa nani sasa! Yaani TCRA ajione amekosea kwa Polepole!