GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #21
Ni kweli mkuu lakin BASATA wanahusika pia,kifupi ni kwamba hawa wameishiwa wanatukana mpaka aibu! KUIGIZA WANAWAKE NI UPUUZI AMBAO HAUVUMILIKI,WASHENZI KABISA!.
Leo tutatawatazama tena tutathmini kama mwendo mdundo au wamepunguza hii kadhia inayokera haswa