chibhitoke
Member
- Jun 1, 2010
- 60
- 12
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikisikia wasomaji taarifa za habari za TBC1 wakisema ''habari hii imetumwa kwa njia ya internet''. Mimi naona kama kuna tatizo- intaneti ni njia ya kawaida ya mawasiliano mbona hawasemi zinazotumwa kwa njia ya posta, EMS au simu.
Nimewahi kuona vituo vya nje wanapoona ubora wa picha zao sio mzuri ndipo husema samahani picha hiyo imetumwa kwa internet. Sasa hawa wenzetu inaonesha huo ndio mchezo wa kila siku
Nimewahi kuona vituo vya nje wanapoona ubora wa picha zao sio mzuri ndipo husema samahani picha hiyo imetumwa kwa internet. Sasa hawa wenzetu inaonesha huo ndio mchezo wa kila siku