Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Waandae tu ili watazame wao wenyewe!
mwenye kiti wa tbc political party anaitwa nani????????????? cz wanapoanza kuzozana na cdm wana wapatia cdm umaarufu wa bure....... tbc wasome nyakati as hizi sio nyakati za zidumu fikra za mwenye kiti............
Tatizo ukiwa mwanachama wa CDM hakuna kutumia hekima ni kuropoka tu Baaaaaasi, hakuna masikilizano ni jazba tu na matusi. asante kwa kuwaeleza ukweli. maana no rsearch no freedom to speak, tukiyafanyia kazi mambo ya uchunguzi nchi itakuwa salama.Hivi kwa nini mnashindwa kutulia na kufanya uchunguzi ili mnapoleta mada hapa iwe imejitosheleza? Sasa mmeleta habari inaelea tu! Be serious!
Taarifa nilizozipata mpaka sasa kutoka kwa mmoja afisa wa TBC1 ktk kitengo cha IT, ni kwamba TBC1 taifa itatoa tamko kali dhidi ya CHADEMA ktk kipindi maalum kitakachoandaliwa ambapo pia kuna taarifa kwamba watatmia fursa hiyo kulaani vitendo viovu vya CHADEMA ktk kuhatarisha amani ya nchi lakini pia watafichua nyaraka za siri za CHADEMA zenye agenda chafu dhidi ya viongozi wachache ambao hawatakiwi ndani ya CHADEMA.
Pia kuna taarifa kuwa baadhi ya vijana ndani ya uongoiz wa CDM wanaopinga umamuzi wa chama kususia CDM.
My view:
tutasikia mengi kuelekea 2015 kwani TBC1 is just like another uprising political party..
Stay turned.........
Taarifa nilizozipata mpaka sasa kutoka kwa mmoja afisa wa TBC1 ktk kitengo cha IT, ni kwamba TBC1 taifa itatoa tamko kali dhidi ya CHADEMA ktk kipindi maalum kitakachoandaliwa ambapo pia kuna taarifa kwamba watatmia fursa hiyo kulaani vitendo viovu vya CHADEMA ktk kuhatarisha amani ya nchi lakini pia watafichua nyaraka za siri za CHADEMA zenye agenda chafu dhidi ya viongozi wachache ambao hawatakiwi ndani ya CHADEMA.
Pia kuna taarifa kuwa baadhi ya vijana ndani ya uongoiz wa CDM wanaopinga umamuzi wa chama kususia CDM.
My view:
tutasikia mengi kuelekea 2015 kwani TBC1 is just like another uprising political party..
Stay turned.........
ninawaunga mkono tbc kwa sababu chadema wamezidi, maana wameona tbc haitangazi upuuzi wao wanaoufanya mikoani ndo maana wameamua kutangaza mgogoro nao
Mwenyekiti wa hicho chama cha siasa kipya kinachoitwa TBC ni nani?