KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kuelekea sensa, hawakuweka burner kwenye screen wakati wa taarifa ya habari, kuonyesha countdown. Ila sasa wamefanikiwa kuweka ya dume condoms.
Hii nchi inawaza ngono sana. No wonder afande nae mauti yake imetokana na ngono, kama ilivyokua kwa Kanumba na kuzikwa na mamilioni ya watu, akionekana shujaa, huku wakiongozwana viongozi wa juu.
Hii nchi inawaza ngono sana. No wonder afande nae mauti yake imetokana na ngono, kama ilivyokua kwa Kanumba na kuzikwa na mamilioni ya watu, akionekana shujaa, huku wakiongozwana viongozi wa juu.