TBC1 bana,,,

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Kuelekea sensa, hawakuweka burner kwenye screen wakati wa taarifa ya habari, kuonyesha countdown. Ila sasa wamefanikiwa kuweka ya dume condoms.
Hii nchi inawaza ngono sana. No wonder afande nae mauti yake imetokana na ngono, kama ilivyokua kwa Kanumba na kuzikwa na mamilioni ya watu, akionekana shujaa, huku wakiongozwana viongozi wa juu.
 
TZ mambo yenye kupewa kipaumbele:
[1].ngoma za unyago,(watoto wanafundishwa kumjua mume hata 18 yrs hajafikia)
[2].tamthilia,(watoto siku nzima wanangalia tamthilia,dio maana DIv zero zimeongezeka miaka hii)
[3].ushirikina,(kwenye biashara,kutafuta madaraka)
[4].ngono,(bila kinga ndio maana watoto hawamalizi shule)
[5].ukiwa nao wengi unasifiwa!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom