kwanza taarifa waliyotumiwa ikagoma kufunguka,wakajaribu kuisubiria ikakataa kufungua,wakaamua kuiruka hiyo taarifa iliyokuwa inahusu kampeni za jk,hadi kipindi cha habari za michezo kimeisha wakaamua kuirudi na bado ikagoma kufunguka wakaamua kuweka matangazo na at last ikakubali,kweli anguko la jk lipo wazi hadi tv zinagoma kuonyesha mikutano yake?cha ajabu wameonyesha juu juu habari ya slaa akiwa kibaha na dar,tbc,u cant stop this wave of change