Ndiyo shida ya kila kitu kinapokuwa kinaendeshwa kisiasa.Kwa bongo hiyo ni michezo ya kawaida sana na pia hata hao watangazaji wa tbc sametime niwazushi tuuu c kiaani kwetu hatuwakubili ki ivyo sana man?
tido yupo kenya kachukuliwa na aljazira-swahili sisi hatujui thamani yakekati ya wa2 ninao wazimia Tido yumo, hv kaenda wp toka tbc?