gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
ni jambo la Ajabu kuona nchi kubwa kama tanzania ambayo ina TV station zaidi ya 40, kushindwa kuonyesha Mashindano ya kombe la mataifa ya africa live!!!!
tena nchi hii yenye shirika kubwa la habari kamaTBC, kushindwa kupata right. Ama kweli ninaanza kuamini TIDO MUHANDO alikuwa anafanya kazi yake ipasavyo
leo hii watanzania wanaangalia AFCON 2012 kupitia either Supersport (ya south africa), UBC (ya uganda) na KBC (ya kenya)
mbona KBC, UBC wanaonyesha kwanini nyie TBC hamuonyeshi!!! au ndo ufisadi huo?????
tena nchi hii yenye shirika kubwa la habari kamaTBC, kushindwa kupata right. Ama kweli ninaanza kuamini TIDO MUHANDO alikuwa anafanya kazi yake ipasavyo
leo hii watanzania wanaangalia AFCON 2012 kupitia either Supersport (ya south africa), UBC (ya uganda) na KBC (ya kenya)
mbona KBC, UBC wanaonyesha kwanini nyie TBC hamuonyeshi!!! au ndo ufisadi huo?????