Unafiki wa Tbc kipindi cha kampeni umewadhalilisha na wamejipatia aibu ya kutupa kwani walionyesha upendeleo wa kutosha halafu hapa Arumeru wanamng'ang'ania eti wamhoji baada ya kutangazwa aibu yao aibu ya Tbc
katika hali ya kushangaza katika kampeni za chaguzi ndogo zilizomalizika jana tbc kituo cha umma kilionyesha upendeleo wa wazi kwa chama tawala na kuvibagua vyama vya upinzani. Lakini mungu ni mkuu chadema imepata covarage ya kutosha hapa jamii forum na vituo vta tv binafsi then sasa tunashangilia ushindi. Peopless power
*********************mimi nimeacha kuangalia tbc je wewe*************
aibu zingine tbc wanazitafuta tu !!
Mtu ambaye walikuwa hawampi kipao mbele ndiye mshindi sasa watu wanajiuliza huyu ndiye nani tena mbona hatukufahamishwa habari zake mapema ???
*********************mimi nimeacha kuangalia tbc je wewe*************
Wanafiki, aibu zao hao CCM radio/TV. Asikubali wamhoji wahuni hao