TBC Mubashara: Spika Ndugai asema huko tunakoelekea ni vizuri tukawa na vyama shindani siyo upinzani unaopinga kila kitu hamna kizuri

Mahojiano yanaendelea kati Spika wa bunge na mkurugenzi wa TBC.

Swali !
Ilikuwaje ukawa mwanasiasa

Spika :Ni swali ngumu ila katika maisha yangu sijawahi kuwaza kuwa nitakuwa mwanasiasa ila baadaye nilipoanza kusikia hotuba za baba wa taifa nikaanza kuvutiwa

"Huko tunakoelekea ni vizuri tukawa na vyama sindani siyo upinzani unaopinga kila kitu hamna kizuri "

Unaridhishwa na nidhamu ya baadhi ya wabunge ?

Spika : "Tunatumia kanuni ila kuna wale ambao wanapinga tu hata kanuni hizo wanapinga pia"


Je baadhi ya maneno ambayo hayana maadili yanaozungumzwa na wabunge ndo yamechangia Bunge isiwe live ?

Spika : Ni kweli kwa asilimia kubwa hiyo ndo sababu maana kuna baadhi ya wabunge mnakubaliana kitu lakini wakijua wanaangaliwa na wananchi na wakiwa mbele ya camera wanawehuka ,wengi hata huwaambia wananchi leo naongea mniangalie


Utatuaji wa kero nyingi kwa awamu hii imefanya vyama shindani kudhoofika ,je hii vyama shindani kudoofika ni nzuri kwa demokrasia ?

Spika: Ni vizuri wangekuwa wanafanya vitu vinavyoonekana siyo kuponda tu,unaponda ndege zilizonunuliwa kesho unaonekana airport ukipanda ndege hizo hizo.
Taifa la wajinga
 
Huyu mtu anafaa kushtakiwa kwa vigezo vyote akishaachia madaraka au jiwe akiondoka nakiri chuki kwa serikali na nchi huyu pia amechangia Sana.
 
Mahojiano yanaendelea kati Spika wa bunge na mkurugenzi wa TBC.

Swali !
Ilikuwaje ukawa mwanasiasa

Spika :Ni swali ngumu ila katika maisha yangu sijawahi kuwaza kuwa nitakuwa mwanasiasa ila baadaye nilipoanza kusikia hotuba za baba wa taifa nikaanza kuvutiwa

"Huko tunakoelekea ni vizuri tukawa na vyama sindani siyo upinzani unaopinga kila kitu hamna kizuri "

Unaridhishwa na nidhamu ya baadhi ya wabunge ?

Spika : "Tunatumia kanuni ila kuna wale ambao wanapinga tu hata kanuni hizo wanapinga pia"


Je baadhi ya maneno ambayo hayana maadili yanaozungumzwa na wabunge ndo yamechangia Bunge isiwe live ?

Spika : Ni kweli kwa asilimia kubwa hiyo ndo sababu maana kuna baadhi ya wabunge mnakubaliana kitu lakini wakijua wanaangaliwa na wananchi na wakiwa mbele ya camera wanawehuka ,wengi hata huwaambia wananchi leo naongea mniangalie


Utatuaji wa kero nyingi kwa awamu hii imefanya vyama shindani kudhoofika ,je hii vyama shindani kudoofika ni nzuri kwa demokrasia ?

Spika: Ni vizuri wangekuwa wanafanya vitu vinavyoonekana siyo kuponda tu,unaponda ndege zilizonunuliwa kesho unaonekana airport ukipanda ndege hizo hizo.
Radio ya taifa inamhoji speaker maswali ya udaku namna hii.
 
Huyu mtu anafaa kushtakiwa kwa vigezo vyote akishaachia madaraka au jiwe akiondoka nakiri chuki kwa serikali na nchi huyu pia amechangia Sana.
Refa wa Bunge anapokuwa adui wa timu mojawapo uwanjani ni vituko.Ndugai anamwakilisha Magufuli na serikali Bungeni?Anayepingwa na wapinzani siyo Spika,Naibu wake au Viongozi wa Bunge.Uzuri wanafahamu wanachodai wapinzani ila wanajipofusha masikio na kuanzisha ligi ya vyama.Eti wanapinga kila kitu,wasiseme kama mnatenda vitu kinyume na Katiba, sheria/kanuni?
 
Huyu ndiye aliyelidhoofisha kabisa Bunge hili.Amejitengenezea historia mbaya mno,sababu ya kujipendekeza
Mahojiano yanaendelea kati Spika wa bunge na mkurugenzi wa TBC.

Swali !
Ilikuwaje ukawa mwanasiasa

Spika :Ni swali ngumu ila katika maisha yangu sijawahi kuwaza kuwa nitakuwa mwanasiasa ila baadaye nilipoanza kusikia hotuba za baba wa taifa nikaanza kuvutiwa

"Huko tunakoelekea ni vizuri tukawa na vyama sindani siyo upinzani unaopinga kila kitu hamna kizuri "

Unaridhishwa na nidhamu ya baadhi ya wabunge ?

Spika : "Tunatumia kanuni ila kuna wale ambao wanapinga tu hata kanuni hizo wanapinga pia"


Je baadhi ya maneno ambayo hayana maadili yanaozungumzwa na wabunge ndo yamechangia Bunge isiwe live ?

Spika : Ni kweli kwa asilimia kubwa hiyo ndo sababu maana kuna baadhi ya wabunge mnakubaliana kitu lakini wakijua wanaangaliwa na wananchi na wakiwa mbele ya camera wanawehuka ,wengi hata huwaambia wananchi leo naongea mniangalie


Utatuaji wa kero nyingi kwa awamu hii imefanya vyama shindani kudhoofika ,je hii vyama shindani kudoofika ni nzuri kwa demokrasia ?

Spika: Ni vizuri wangekuwa wanafanya vitu vinavyoonekana siyo kuponda tu,unaponda ndege zilizonunuliwa kesho unaonekana airport ukipanda ndege hizo hizo.
 
...kuna viongozi wakusikiliza huyu wa bunge hili la awamu ya 5 tumuangalie tuu nakumuombea kwa mwenyezi mungu amsamehe anatumia nguvu kubwa ku prove anaacha alama katika uongozi wake
 
Mahojiano yanaendelea kati Spika wa bunge na mkurugenzi wa TBC.

Swali !
Ilikuwaje ukawa mwanasiasa

Spika :Ni swali ngumu ila katika maisha yangu sijawahi kuwaza kuwa nitakuwa mwanasiasa ila baadaye nilipoanza kusikia hotuba za baba wa taifa nikaanza kuvutiwa

"Huko tunakoelekea ni vizuri tukawa na vyama sindani siyo upinzani unaopinga kila kitu hamna kizuri "

Unaridhishwa na nidhamu ya baadhi ya wabunge ?

Spika : "Tunatumia kanuni ila kuna wale ambao wanapinga tu hata kanuni hizo wanapinga pia"


Je baadhi ya maneno ambayo hayana maadili yanaozungumzwa na wabunge ndo yamechangia Bunge isiwe live ?

Spika : Ni kweli kwa asilimia kubwa hiyo ndo sababu maana kuna baadhi ya wabunge mnakubaliana kitu lakini wakijua wanaangaliwa na wananchi na wakiwa mbele ya camera wanawehuka ,wengi hata huwaambia wananchi leo naongea mniangalie


Utatuaji wa kero nyingi kwa awamu hii imefanya vyama shindani kudhoofika ,je hii vyama shindani kudoofika ni nzuri kwa demokrasia ?

Spika: Ni vizuri wangekuwa wanafanya vitu vinavyoonekana siyo kuponda tu,unaponda ndege zilizonunuliwa kesho unaonekana airport ukipanda ndege hizo hizo.
Akinetuliwa pia awe live hivo hivo
 
Ni Binadamu ambaye atabaki kwenye historia ya nchi kama kiongozi mbaya aliyewahi tokea hapa nchini.Hata yeye anajua hili ndo maana anatumia nguvu Kubwa sana kujaribu kujisafisha lakini hatafanikiwa.
Mahojiano yanaendelea kati Spika wa bunge na mkurugenzi wa TBC.

Swali !
Ilikuwaje ukawa mwanasiasa

Spika :Ni swali ngumu ila katika maisha yangu sijawahi kuwaza kuwa nitakuwa mwanasiasa ila baadaye nilipoanza kusikia hotuba za baba wa taifa nikaanza kuvutiwa

"Huko tunakoelekea ni vizuri tukawa na vyama sindani siyo upinzani unaopinga kila kitu hamna kizuri "

Unaridhishwa na nidhamu ya baadhi ya wabunge ?

Spika : "Tunatumia kanuni ila kuna wale ambao wanapinga tu hata kanuni hizo wanapinga pia"


Je baadhi ya maneno ambayo hayana maadili yanaozungumzwa na wabunge ndo yamechangia Bunge isiwe live ?

Spika : Ni kweli kwa asilimia kubwa hiyo ndo sababu maana kuna baadhi ya wabunge mnakubaliana kitu lakini wakijua wanaangaliwa na wananchi na wakiwa mbele ya camera wanawehuka ,wengi hata huwaambia wananchi leo naongea mniangalie


Utatuaji wa kero nyingi kwa awamu hii imefanya vyama shindani kudhoofika ,je hii vyama shindani kudoofika ni nzuri kwa demokrasia ?

Spika: Ni vizuri wangekuwa wanafanya vitu vinavyoonekana siyo kuponda tu,unaponda ndege zilizonunuliwa kesho unaonekana airport ukipanda ndege hizo hizo.
 
Nilichofundishwa Darasani kuhusu uwepo wa miimili mitatu yani serikali kuu, bunge na mahakama kumbe ulikuwa ni uongo mtupu
 
Wakati Kabudi akiwa katika akili timamu alisema jambo ambalo linamgusa Ndugai moja kwa moja.

 
huyu ni mtu mbaya sana sana kwa taifa hasa kwenye muhimili alioushika, yaani kalisambaratisha taifa
Ni Mateka Hana jinsi alitupiwa bilioni 12 za matibabu lengo ili ajiongeze.So akienda kinyume tu ni lzm faili la uhujumu uchumi liletwe mezani hivo kuogopa yote ni lzm atii maagizo.
Kiuhalisia anatamani Sana kutenda haki hata dhamira inamsuta lkn atafanya nn,uchague jela mbele ya haki au huru mbele ya dhuluma.
 
Back
Top Bottom