TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

(I'm a former magician myself).

Damn...you are a lot things, aren't you? A writer (both fiction and nonfiction), former magician (this is a new one), comedian, counselor, teacher, satirist, journalist, activist, advocate, rapper (lol..someone here a while ago said you were one), poet, clairvoyant, philosopher, linguist,....man, what else did I leave out?
 
sijamtetea Muro mahali popote. Tatizo langu sipendi mazingaombwe sana (I'm a former magician myself). Mazingaombwe ni mchezo wa kuzuga akili na hisia. Watanzania kiasili yetu tunapenda sana an elaborate magic show kiasi kwamba tunaamini kirahisi sana viinimacho.

Nilichosimamia ni kuwa polisi wameboronga kiasi kwamba hata kama Muro amefanya makosa hakuna mahakama ya Tanzania inayoweza kumtia mahakamani. Akiachiwa huru si kwa sababu yuko "innocent" bali ni kwa sababu ushahidi haukuwa mzito dhidi yake.

Duh!

Sasa nimeamini kweli unapenda kuzuga akili na hisia ...

Good to learn you are doing now and then..lini utaacha?? grow up
 
--alikuwa akila 10 perc na mtuhumiwa wa bagamooyo aliefukuzwa
--takukuru waanza kumchunguza
--aliwahi kumnunulia magari mawili yako morogoro kibiashaara

waziri mwandamiizi waserikali ya jk anatuhumiwa kushiriki katika sakata la wizi wa mamillion kwenye halmashauri ya bagamoyo..mh huyu anahusishwa na sakata la mh jerry muro
habari zinasema vyombo vya dolla vimeshtushwa na taarifa za waziri huyu ambae taarifa zake zimekutwa kwa muro na wenzake edmund na deo
baada ya kuwapekua na kuwahoji vilipatikana vielelezzo hallisi vinaovyoonyesha uhusiano wa waziri huyu na watendaji waliotimuliwa na waziri mkuu pinda
akionngea kwa mshangao anasema jerryy muro alikutwa naushahidi unaoonyesha waziri husika anamtaja jina alikuwa akinufaika na fedha za ubadhirifu kutoka halmashauri ya wilaya ya bagamoyo,walikuwa na docs nyingi za ushahidi ikiwemo gari alilonunuliwa waziri huyo ambayyo yako mororgoro kikazi

habari zaidi inasema vyomboa vya dola vimeamua kuanza uchunguzio zaidi kuhusu waziri huyo na mahusiano na hawa matapeli wa baagamoyo...""unajua wanaangalia mahusiano kati ya waziri na watum,ishi waliofukuzwa kazi na apm ,...maana lazima serikali ijiridhishe walitoa fedha kwake kwa maslahi gani?kablaya ya kuchukua maamuzi..na pia kina jerry muro walizipataje hizi taarifa na walikuwa wanazitumia kwa malengo gani???



Kwa habari zaidi nunua raia mwema
 
eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh jambo limezua mambo ngoja tuendelee tu kupata habari kamili ...
 
Hahah sasa wanashangaa JM alikuwa anazitumiaje wakati yeye nimwandishi wa habari na anafanya habari za uchunguzi, haya wadau sasa mengi yatafunguka tuwe na subira.
 
--alikuwa akila 10 perc na mtuhumiwa wa bagamooyo aliefukuzwa
--takukuru waanza kumchunguza
--aliwahi kumnunulia magari mawili yako morogoro kibiashaara

waziri mwandamiizi waserikali ya jk anatuhumiwa kushiriki katika sakata la wizi wa mamillion kwenye halmashauri ya bagamoyo..mh huyu anahusishwa na sakata la mh jerry muro
habari zinasema vyombo vya dolla vimeshtushwa na taarifa za waziri huyu ambae taarifa zake zimekutwa kwa muro na wenzake edmund na deo
baada ya kuwapekua na kuwahoji vilipatikana vielelezzo hallisi vinaovyoonyesha uhusiano wa waziri huyu na watendaji waliotimuliwa na waziri mkuu pinda
akionngea kwa mshangao anasema jerryy muro alikutwa naushahidi unaoonyesha waziri husika anamtaja jina alikuwa akinufaika na fedha za ubadhirifu kutoka halmashauri ya wilaya ya bagamoyo,walikuwa na docs nyingi za ushahidi ikiwemo gari alilonunuliwa waziri huyo ambayyo yako mororgoro kikazi

habari zaidi inasema vyomboa vya dola vimeamua kuanza uchunguzio zaidi kuhusu waziri huyo na mahusiano na hawa matapeli wa baagamoyo...""unajua wanaangalia mahusiano kati ya waziri na watum,ishi waliofukuzwa kazi na apm ,...maana lazima serikali ijiridhishe walitoa fedha kwake kwa maslahi gani?kablaya ya kuchukua maamuzi..na pia kina jerry muro walizipataje hizi taarifa na walikuwa wanazitumia kwa malengo gani???



Kwa habari zaidi nunua raia mwema

Pdidy
habari yako ni nzuri lakini, haina maana kama msomaji ndio aanze kugues ni waziri gani huyo, hicho kichwa cha habari nilijua nndani ya hii habari katajwa huyo waziri,

habari za bongo hovyohovyo
 
Ni kawambwa!????

Most likely ni yeye kwani inaelekea anapenda mshiko; unaona anavyowatetea wahindi wa RITES na jinsi anavyolishuhulikia suala la kuongezewa muda la TICS. Anaelekea kuweka maslahi yake mbele na hiyo itamletea matatizo nduguye anayembeba kwani mwisho mbeleko itachanika na itabidi adondoke!!
 
waziri huyu ni yule wa tamisemi mama toka morogoro na ndiye amemkingia kifua sana yule mama mkurugenzi rhoda nsemwa kwa malipo ya rushwa.
 
Back
Top Bottom