zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
TBC mnatutia aibu kuliwacha hilo screen bovu nyuma ya mtangazaji wa taarifa ya habari. Kumbukeni kuwa hii TV inatazamwa ndani na nje ya Tanzania, mnaitia doa jeusi Tanzania kote inakotazamwa.
Natazama taarifa ya habari sasa hivi hiyo screen nyuma inaonesha kabisa kuwa imechuja liquid upande wa chini kushoto, inaonesha baka jeusi, hivi hamuioni au ndio hamjali au ndio uzembe wa hali ya juu?
Mnatutia aibu, hivyo vi screen vimejaa kila kona si mbadili tu muweke nyingine? au mkaitowe ile iliyopo ofisini kwa Mkurungenzi wenu muiweke hapo panapoonekana uzembe wenu dunia nzima na hiyo ya hapo mkamuwekee Mkurugenzi wenu ofisini kwake.
Haya mambo yanakera na ni ya kijinga sana. Huyo mkurugenzi afukuzwe mara moja kwa huu ujinga. Hili ni kosa kubwa sana na si la mzaha. Mnaonesha uzembe wenu duniani!
Natazama taarifa ya habari sasa hivi hiyo screen nyuma inaonesha kabisa kuwa imechuja liquid upande wa chini kushoto, inaonesha baka jeusi, hivi hamuioni au ndio hamjali au ndio uzembe wa hali ya juu?
Mnatutia aibu, hivyo vi screen vimejaa kila kona si mbadili tu muweke nyingine? au mkaitowe ile iliyopo ofisini kwa Mkurungenzi wenu muiweke hapo panapoonekana uzembe wenu dunia nzima na hiyo ya hapo mkamuwekee Mkurugenzi wenu ofisini kwake.
Haya mambo yanakera na ni ya kijinga sana. Huyo mkurugenzi afukuzwe mara moja kwa huu ujinga. Hili ni kosa kubwa sana na si la mzaha. Mnaonesha uzembe wenu duniani!