Kitaja
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 2,836
- 1,381
Angalia nafsi yako ktk mambo ya Mungu .sifa ni mbaya utakuja juta.
Acha kutisha wenzio ...kisa tapeli Joshua wa nigeria
Angalia nafsi yako ktk mambo ya Mungu .sifa ni mbaya utakuja juta.
Ikiwa Tanzania itakuwa poa tu!.. Nchi yetu itakuwa maarufu duniani.Jamani tuombe sana isiwe tanzania
huyo naye ni wale wale tuNaomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
kipo hata ambao watakuja kwa jina la YESU lakini hawatakuwa wa MUNGUHakuna kifungu kama hicho katika biblia.
Mzee ya upako anazungumza juu ya upumbavu wa tb joshua...anasema tb joshua ni mburukenge.....anatabir Uongo na hakuna lolote litakalotokea....ANAFANANISHA UTABIRI WAKE Na kutabiri mvua wakati wa masika........source.,chanel ten sasa hivi
MKUU ulijuaje/umejuaje???Atawadanganya sana huyo tapeli...wenzio wansoma matukio yanavyoelekea ndo hutoa kitu anachoita utabiri ndio maana hawezi kuwa specific bali hubahatisha tu. hamna cha nabii wala nini ni utapeli tu.
Huu unabii ulishatimia kwa Rais wa South Sudan. TB Joshua alipiga hadi simu ubalozini kuwatahadharisha. Rais huyo alienda kumshukuru pia.Hivi nabii alitaja mwaka.
Nenda bwana huoni yajayo yanafurahiaHapa hata kwenda club naanza kupunguza wakui, maana roho imeniruka vibaya! Jamani tuombeni huu si utani jamani
Tetemeko LA India na utabiri Wa ndege mpaka ni na urusiNaomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
Hakusema atakuwa rais alimtabiria atashinda uchaguzi.Alisema Lowassa atakuwa Rais
Uzi wa kitambo enzi z JKDa nimekuja mbio mbio nikidhani ni uzi wa juzi la hasha