Mkali Tricks
JF-Expert Member
- Aug 18, 2017
- 488
- 310
- Thread starter
- #41
Uongo Upo Wapi?Acheni kuwadanganya watu ili waangalie chanell zenu
Cbeki Hii
Uongo Upo Wapi?Acheni kuwadanganya watu ili waangalie chanell zenu
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO ZA YOUTUBE NA KUIANGALIA TENA BILA DATATitle Ningewekaje?
Bora Wewe Unataka Kujaribu, Wengine Wanaongea Mbovu Hata Kujaribu Hawajajaribu.Ngoja nijaribu
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YA YOUTUBE NA KUIANGALIA TENA BILA DATA
Mkuu kitendo kinachofanyika hapo, ni inasave ile video kwa kuidownload kwenye simu yako, kisha utaweza kuiplay kupitia simu yako na kutokuhitaji internet "data" lakini bila kuwa na internet au "kuwasha data" hichi kitendo hakiwezi kufanyika ndo maana kwenye steps zako umesema step ya kwanza ni "kuwasha data" pia angalia screenshot ulioweka hapo juu, ukisoma vizuri inaelezea hichi ndo kitendo kinachofanyika.Huyu Nae! Asa Mbona Afadhali Ya Mimi. Kwenye Video Sijaelekeza ki-download Mjomba
Nimekusoma.Kiswahili kilicho tumika hapo kigumu, sasa sibora angesema Tazama video kwa MBs kiduchu
Nashindwa Kuelewa Kipande Cha Dkk 2-3 Ki-dowlodiwe kwa Sekunde 3-5Mkuu kitendo kinachofanyika hapo, ni inasave ile video kwa kuidownload kwenye simu yako, kisha utaweza kuiplay kupitia simu yako na kutokuhitaji internet "data" lakini bila kuwa na internet au "kuwasha data" hichi kitendo hakiwezi kufanyika ndo maana kwenye steps zako umesema step ya kwanza ni "kuwasha data" pia angalia screenshot ulioweka hapo juu, ukisoma vizuri inaelezea hichi ndo kitendo kinachofanyika.
Mkuu hii inategemeana na speed ya internet yako, kwa mfano kipande cha dk 3 labda kina mb 1, na kama internet yako iko vzuri kitadownload hiki kpande kwa sekunde kadhaa, Haimanishi kwa kuwa kipande ni cha dakika 3 ndo lazima ichukue dakika 3 kudownload.Nashindwa Kuelewa Kipande Cha Dkk 2-3 Ki-dowlodiwe kwa Sekunde 3-5
Ok, Nimekusoma MkuuMkuu hii inategemeana na speed ya internet yako, kwa mfano kipande cha dk 3 labda kina mb 1, na kama internet yako iko vzuri kitadownload hiki kpande kwa sekunde kadhaa, Haimanishi kwa kuwa kipande ni cha dakika 3 ndo lazima ichukue dakika 3 kudownload.
Ndo maana yake, unaaona kale kamstari keupe kanakotembea chini ya video? Pale ndo video inaload kwenye background kwa kutumia data, by the time umeenda kuzima video ishashushwa yote. Youtube Go imetengenezwa kwa ajili ya nchi kama zetu ili kupunguza matumizi ya data kwa kuweka video kwenye low quality(smaller size) na kukuwezesha kuchagua size/quality unayotaka kwa urahisi zaidi.Inaliwa Ndani Ya Sekunde?
Sawa kabisa mkuu...wadau wengi hawajawahi kuufanya huu mchezo ndio maana wanakuwa wabishi.....wacha sie wengine tuendelee kuinjoiUkiona Hii Haikufai, Tumia Inayokufaa.
Bado data unatumia lakiniHATUA
1. Washa Data.
Umetumia app gani kuchorea mshale ulionyooka ivyo mkuu, sitaki scatch lakiniNingekuwa Nahitaji Views Sidhani Kama Ningeweza Bayana Namna inavyofanya Kazi.
Kisha Hii App ni ya YouTube Wenyewe, Cheki Walivyosema Hapo
Mbona hiyo screeshot ipo wazi kabisa kwamba lazma utumie MB labda kilicho kuchanganya wewe hapo ni hiyo no internet connectionNingekuwa Nahitaji Views Sidhani Kama Ningeweza Bayana Namna inavyofanya Kazi.
Kisha Hii App ni ya YouTube Wenyewe, Cheki Walivyosema Hapo
Umetumia app gani kuchorea mshale ulionyooka ivyo mkuu, sitaki scatch lakini