Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Kwenye mechi dhidi ya Croatia Messi mliona alivyopiga chenga na na kutoa pasi nzuri iliyozaa goli la 3. Ilikuwa pasi nzuri na ni kweli ilionyesha Messi ni mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani
Basi mitandao ilichafuka kwa sifa kuhusu alivyocheza Messi dhidi ya Croatia
Lakini jana kwenye mchezo dhidi ya Morocco tuliona Mbape alivyocheza na yeye kuchomoka kwenye kichaka cha mabeki na kutoa pasi iliyozaa goli la 2 la Ufaransa.
Ukiacha hata pasi hiyo Mbape alikuwa kacheza vizuri na kuleta hatari zaidi ya mara 3 kwenye lango la Morocco, Lakini Mbape hazungumziwi kabisa,
Ingekuwa ni Messi au hata Ronaldo angecheza kama Mbape jana, mitandao ingelipuka.
Basi mitandao ilichafuka kwa sifa kuhusu alivyocheza Messi dhidi ya Croatia
Lakini jana kwenye mchezo dhidi ya Morocco tuliona Mbape alivyocheza na yeye kuchomoka kwenye kichaka cha mabeki na kutoa pasi iliyozaa goli la 2 la Ufaransa.
Ukiacha hata pasi hiyo Mbape alikuwa kacheza vizuri na kuleta hatari zaidi ya mara 3 kwenye lango la Morocco, Lakini Mbape hazungumziwi kabisa,
Ingekuwa ni Messi au hata Ronaldo angecheza kama Mbape jana, mitandao ingelipuka.