Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,908
Naibu katibu mkuu wa chadema kamanda salum mwalim muda mfupi uliopita ametuzindulia tawi letu hapa buzuruga jijini mwanza, kata ya buzuruga ni kitovu cha mabadiliko ambapo kata ya buzuruga ina mitaa mitano katika uchaguzi wa serikali za mitaa chadema tulichukua minne na ccm mmoja