Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Exactly Bro. The best they can do to support CHADEMA ni kama ifuatavyo badala ya kufungua tu matawi:-
(i) Kwa dini yako, kwanza iombee Tanzania na watu wake; halafu ombea CHADEMA na viongozi wake Mungu awalinde hasa katika kipindi hiki kizito ambacho maadui ni wengi.
(ii) Isaidie CHADEMA kwa michango ya hali na mali; mambo yanayotakiwa kufanywa ni mengi mno but resources are so limited.
(iii) Wakati wa kujiandikisha na kupiga kura kwa uchanguzi wowote tokeni huko Marekani na kwingine mliko; rudini nyumbani muipigie kura CHADEMA.
(iv) Fundisha watoto na watoto wa watoto wako, ndugu, jamaa, na marafiki zako kuyashika yote yaliyoelekezwa katika (i), (ii), (iii) hapo juu.
This is the best you can do for CHADEMA and Tanzania in general.
They need to a little bit organised to do what you are advising. Good comment anyway.:tonguez: