bahiri la kigogo
Member
- Jul 31, 2012
- 22
- 3
Habari wanajf, habari wanakongwa,rejea na kichwa cha habari,
Ndugu wanajamii, wanakongwa tuishio Dar na Pwani, tumekusudia kufungua tawi la CHADEMA hapa mjini kwa ajili ya kuratibu shughuli za kichama kwa wanakongwa waishio Dar na Pwani.
Tawi limepewa baraka zote kutoka kwa mwenyekiti wetu wa wilaya ndugu Juma Chibiriti na sasa tunaomba nguvu zetu tuziunganishe ili kupambana na mkoloni mweusi ambaye anazoletesha maendeleo yetu:
Naomba kuwakilisha kwenu kwa maoni na ushauri.
Pamoja tutaijenga Kongwa yetu.
Ndugu wanajamii, wanakongwa tuishio Dar na Pwani, tumekusudia kufungua tawi la CHADEMA hapa mjini kwa ajili ya kuratibu shughuli za kichama kwa wanakongwa waishio Dar na Pwani.
Tawi limepewa baraka zote kutoka kwa mwenyekiti wetu wa wilaya ndugu Juma Chibiriti na sasa tunaomba nguvu zetu tuziunganishe ili kupambana na mkoloni mweusi ambaye anazoletesha maendeleo yetu:
Naomba kuwakilisha kwenu kwa maoni na ushauri.
Pamoja tutaijenga Kongwa yetu.