Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Nishasema mara kibao hapa ukumbini kuwa tatizo linalotukabili hapa Bongo ni UFISADI na kukosa viongozi wenye maono, uzalendo na upendo kwa watu wao, lakini kwa makusudi kabisa kuna WAPUMBAVU ambao wanatumiwa na MAFISADI ili kutuondoa kwenye hoja za msingi na mshikakamano wa kuweza kuliondoa kabisa tatizo hili la UFISADI. Angalia inapokuja hoja ya ufisadi katika viongozi wetu basi haraka kuna watu wanaidaka juu juu na kuihusisha na udini.Watu hao wanafahamika hapa jamvini japo kwa ID zao,hawa hawataki kusikia ufisadi wa JK na genge lake na kumficha katika mwamvuli wa udini, huu ni ujuha wa hali ya juu kwani athari za ufisadi zinatukumba watu wa dini zote kwa mfano tatizo la mgao wa umeme na kupanda kwa asilimia karibu ya 20% ya bei ya umeme.Hao mafisadi wanatanua watakavyo na wenyewe wana mshikamano wao kwani wenyewe ni wa dini tofauti na wengine hata dini hawana sasa sisi walalalhoi tunaishia kuparurana kwa misingi ya dini.
Watu kama wewe pia ni tatizo sio tuu Tanzania ila hata humu JF. Watu tunapinga huo UFISADI tena kwa kiasi kikubwa. Watu wanachohoji kwa nini tuchague awamu au wakati wa kuupinga huo ufisadi na wakati mwingine tunashadidia? Ufisadi ulianza kushika kasi wakati wa Mkapa, kumbuka mawaziri ambao waliachishwa ama kujiuzulu kwa ufisadi kama Mbilinyi, Ngasongwa n.k. mbona viongozi wa kanisa walimkalia kimya Mkapa? Sasa hivi wako mstari wa mbele (si vibaya) kwa sababu ni rahis kumu-attack mtu asiye ndugu yako. (Give a dog a bad name then kill it)!. Kikwete kwa sababu ya uislamu wake amekuwa easy target kwa christian activists kwa kisingizio cha ufisadi! HILO NDIO TATIZO AMBALO SIAMINI KAMA UNAWEZA KUWA HONEST ENOUGH UKAKUBALI
Pia neno ufisadi limepunguzwa maana ili kulenga tatizo fulani tu! Kwa kiarabu au kiingereza neno hilo lina maana pana zaidi ya 'wizi wa mali ya uma" ambalo sasa ndio tafsiri inayopendwa. kama UFISADI ungekuwa unachukiwa kwa maana yake halisi tusingemshangilia na kumpa leeway mtu mzima anayechukua mke wa mtu (hawara) na kutangaza mchumba wake! Hii ni moral decay na ndio ufisadi namba moja! Mi naweza kumsamehe mtu anayeniibia pesa lakini SIO ANAYENICHUKULIA MKE WANGU! Sijui wewe!
Ngoja nikupe maana za Ufisadi (CORRUPT, CORRUPTION)
v. cor·rupt·ed, cor·rupt·ing, cor·rupts
v.tr. 1. To destroy or subvert the honesty or integrity of.
2. To ruin morally; pervert.
3. To taint; contaminate.
4. To cause to become rotten; spoil.
5. To change the original form of (a text, for example).
6. Computer Science To damage (data) in a file or on a disk.
corrupt [kəˈrʌpt]
adj 1. lacking in integrity; open to or involving bribery or other dishonest practices a corrupt official corrupt practices in an election
2. morally depraved
3. putrid or rotten
4. contaminated; unclean
5. (Literary & Literary Critical Terms) (of a text or manuscript) made meaningless or different in meaning from the original by scribal errors or alterations
6. (Electronics & Computer Science / Computer Science) (of computer programs or data) containing errors
vb 1. to become or cause to become dishonest or disloyal
2. to debase or become debased morally; deprave
3. (tr) to infect or contaminate; taint
4. (tr) to cause to become rotten
5. (tr) to alter (a text, manuscript, etc.) from the original
6. (Electronics & Computer Science / Computer Science) (tr) Computing to introduce errors into (data or a program)