Nchi za wenzetu ungekuta asubuhi waziri anaomba radhi na kung'atuka, mkurugenzi nae anafata, injinia mkuu nae hvyohvyo sasa huku kwetu ndo kwaaanza bodi mpya imewekwa! Zisi izi veri disturbing.
Kinachonifurahisha ni jinsi tunavyojua kuongea na kulalamika, ila vitendo a a! Hii ni kutokana na sera zetu nzuri za utulivu na amani! Na ukiandamana kwa amani unatafuta uvunjifu wa amani, Unajua nani hao wanoongoza kwa kuvunja amani wakati inapotafutwa?