usipokula wenzio watakula
Msosi kule upo wa kutosha mihogo ya nini sasa .
pouwa mkuu za kwakomiss chaga vipi?
huu sasa ni udhalilishaji kwa sisi warombo itabidi tuandae maandamano kupinga huu uhuni wa baadhi ya waandishi wa habari. Watu wachache wanahojiwa wanachafua hali ya hewa ni upuuzi kabisa mi sikubaliani nao.[/QUOTE
wanawake uvumilivu umewshinda, midume yao muda wote inasinzia tu. Na midume mingine iko songea mtwara, dar mbeya halafu imeacha wake zao Kilimanjaro, kurudi mara moja kwa mwaka krismass. Lazima mke atafute mkenya loo
Baadhi ya wanawake wa Rombo inadaiwa wanakodi wanaume kutoka Kenya ili kufanya nao ngono kutokana na tabia za ulevi za wanaume wao kuzidiwa ulevi na kushindwa kufanya tendo la ndoa. View attachment 252883
niko poa mkuu. vipi rombo?pouwa mkuu za kwako
Hiyo habari imetiwa chumvi. Niliwahi kufanya kazi Rombo na japo swala la ulevi ni la kweli kwa wanaume lakini wanawake wa Rombo wanafanya sana kazi ngumu na swala la mapenzi halina kipaumbele kwao kiasi cha kuagiza wanaume kutoka Kenya. Mji wa Tarakea ulio mpakani una mchanganyiko wa watu mbalimbali wakiwemo wakenya wanaokuja kwa ajili ya biashara. Kwa hali hiyo machangudoo wapo vilevile. Sikatai pengine kwa hao wanaume wachache walioathirika na pombe baadhi ya wake zao watageukia marafiki za waume zao na si kutafuta Kenya.
Kenya Bar haifunguliwi kabla ya saa kumi na weekend ni saa nane sisi ni saa 24 tunakula viroba na banana wine
huu sasa ni udhalilishaji kwa sisi warombo itabidi tuandae maandamano kupinga huu uhuni wa baadhi ya waandishi wa habari. Watu wachache wanahojiwa wanachafua hali ya hewa ni upuuzi kabisa mi sikubaliani nao.