abel frank
Senior Member
- Apr 11, 2013
- 157
- 68
.
Mkuu Nenda kwenye Maduka ya ujenzi waambie Wakupe Tanfix ni kama Cement yani badala ya kutumia mchanga na Cement Unatumia hiyo Inauzwa Elfu 27"000 Kilo 25 tena mimi Nimenunua tu jana fundi Atengeneze
Asante mkuu,Mkuu Nenda kwenye Maduka ya ujenzi waambie Wakupe Tanfix ni kama Cement yani badala ya kutumia mchanga na Cement Unatumia hiyo Inauzwa Elfu 27"000 Kilo 25 tena mimi Nimenunua tu jana fundi Atengeneze
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Tatizo