A
Anonymous
Guest
Wakazi wa Wilaya ya Ubungo, kata ya Kimara, mtaa wa Mavurunza kwa Mtolo kanisani, tunasikitika nguzo hii imeisharipotiwa zaidi ya mara mbili kupitia huduma kwa wateja.
Kila tukiripoti TANESCO Kimara wanakuja na wanesema kwa kuwa line ni kubwa wao Kimara TANESCO hawahusiki. Nakumbuka kwa mara ya mwisho wamekuja tarehe 20/11/2023 wakasema TANESCO Kimara hawana nguzo kubwa.
Kila tukiripoti TANESCO Kimara wanakuja na wanesema kwa kuwa line ni kubwa wao Kimara TANESCO hawahusiki. Nakumbuka kwa mara ya mwisho wamekuja tarehe 20/11/2023 wakasema TANESCO Kimara hawana nguzo kubwa.