JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
Mhe .lusinde akichangia hoja jioni hii" tatizo la maji linawanyima wanaume kuweza kutengeneza watanzania wapya kwani muda wakuwatengeneza watanzania wapya wao wanakwenda kuteka majii.siasa hizi jamani ,asa bora tatizo la maji liendelee maaana bila hivyo watanzania mtazaa kila baada ya miezi 9..