Tatizo la maji na kutoongezeka kwa watanzania wapya

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Jan 8, 2010
1,005
82
Mhe .lusinde akichangia hoja jioni hii" tatizo la maji linawanyima wanaume kuweza kutengeneza watanzania wapya kwani muda wakuwatengeneza watanzania wapya wao wanakwenda kuteka majii.siasa hizi jamani ,asa bora tatizo la maji liendelee maaana bila hivyo watanzania mtazaa kila baada ya miezi 9..
 
Back
Top Bottom