My Joash
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 270
- 213
Hizo ni habari njema,haaaaTibu hilo tatizo mwanao ndio Rais ajaye
Asante kiongoziMimi huwa inanitokea tena huwa natoka mpk na jasho kabisa. Ila nimeshaiijulia hainisumbui tena. Before nisafiri huwa naweka Coca kwa freezer asubuhi naitoa, nakuwa nazo 2 moja ineganda na nyingine baridi ya kawaida tu. Huwa nazinywa hizo, pia sikosi chocolate na chewing gum.
Madaktari wanaweza kutuelezea vizuri ila mimi niliambiwa nakuwa na ukosefu wa oxygen kwa ubongo. Na hii husababishwa na low sugar so nikila kitu cha sukari inanisaidia. Cha ajabu hii shida naipata kwenye bus na boat tu ila kwa ndege niko sawa kabisa
Aiseee!!!Mimi nliambiwa niwe naweka njiti za kiberiti kila sikio nimeona inasaidia
Asante boss,connection ni nini hapo? Au imani tuuu?Chukua gazeti uweke kwenye siti kisha ukalie, hautotapika tena.
Asante sana mkuuMimi ilinisaidia soda ile Sparleta iliyotengenezwa kwa limao. Kila nikisafiri nakunywa chupa moja. Nilitumia kama safari tatu au nne, ile hali ikakata kabisa hadi sasa nadunda fresh tu.
Asante mkuuDuh naona hali ilivyomtokea kwa mara ya kwanza ndiyo ime adopt, itaacha yenyewe baadae.
Ni kama tu mtu ukinywa pombe kwa mara ya kwanza ukatapika hiyo hali itajirudia ukinywa pombe tena.
Akila anakitapika choteAwe anakula kitu kabla ya kuanza safari inaweza kumsaidia
Kweli mkuuAsipokula anatapika maji.Maana nyingine akiwa safarini chochote kilicho tumboni kinatapikwa.
Duuu,naamini hii hali itaishaAjitahidi apambane na hiyo hali iishe vinginevyo kila siku atakuwa anakula makofi safarini kwa kuwatapikia wananzengo.
atumie phenergan atamaliza tatizo mm ndy hutumiaga na safari ndefu nilitoka dodoma to mtwaraDuuu,naamini hii hali itaisha