Kununua Luku na kuambiwa Meter Number haitambuliki

colin_morgan

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
2,443
2,896
Habar wakuu

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza

Nimewekewa umeme siku chache tu nyuma ila tangia jana najarbu kununua umeme naambiwa meter namba haitambuliki na muamala una feli

Na nimejarbu kuwapigia tanesco mara kadhaa wananipa ahad hewa

Tatizo itakua ni nini wakuu? Naombeni msaada

TANESCO
 
Habar wakuu

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza

Nimewekewa umeme siku chache tu nyuma ila tangia jana najarbu kununua umeme naambiwa meter namba haitambuliki na muamala una feli

Na nimejarbu kuwapigia tanesco mara kadhaa wananipa ahad hewa

Tatizo itakua ni nini wakuu??? Naombeni msaada
Nenda office yoyote ya tanesco uliyo karibu nayo na tatizo lako litatuliwa Mara moja!! Na wakikataa kukusaidia usikose nifahamisha pia!! Asante sana!!
 
Uyakuwa unaingiza namba zile za nyuma ambazo hazitambuliki

Angalia meter yako kuna namba ambazo zimeongozana halafu kuna namba kama tatu (kama sikosei) zimejitenga

Hizo namba zilizojitenga usiziandike, chukua hizo zingine zilizoambatana bila space
 
Habar wakuu

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza

Nimewekewa umeme siku chache tu nyuma ila tangia jana najarbu kununua umeme naambiwa meter namba haitambuliki na muamala una feli

Na nimejarbu kuwapigia tanesco mara kadhaa wananipa ahad hewa

Tatizo itakua ni nini wakuu? Naombeni msaada

TANESCO
kama meter bado ni mpya, means bado hawajaifungua hiyo meter number, hakikisha unaenda tena ofisini kwao uwasumbue waifungue usisuburi umeme ukate unaweza kaa giza hata siku 3
 
Habar wakuu

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza

Nimewekewa umeme siku chache tu nyuma ila tangia jana najarbu kununua umeme naambiwa meter namba haitambuliki na muamala una feli

Na nimejarbu kuwapigia tanesco mara kadhaa wananipa ahad hewa

Tatizo itakua ni nini wakuu? Naombeni msaada

TANESCO
Tafadhali onesha namba ya mita

Wilaya

Namba ya simu

Kwa hatua zaidi

Hili ni dogo sana ungetupigia tu kwa namba 0748550000 tungelimaliza mapema

Ahsante
 
Back
Top Bottom