Tatizo la Figo

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,027
Naomba kujua details za tatizo la figo.
Matibabu yake yapoje(dawa na fedha)??
Ni kweli figo haitibiki ?matter of replacement??yaani uwe na mtu ambaye damu zenu ni group moja itolewe yake then awekewe mgonjwa??is it like that??
Kiutaalamu ugonjwa wa figo unajulikana kwa jina gani??
Kuna anko angu anasumbuliwa sana figo na anatarajia kwenda india kwa matibabu sasa, inabidi atoke na mtu huku ili kama ni kureplace basi afanyiwe hivyo au kuna matibabu mengine??
Naomba details, Shukrani!!
 
Matatizo ya figo yapo meeengi sana kwa kuwa 'anko' yako ameshaenda hospitali na tatizo likajulikana mpaka wataalam wameamua afanyiwe 'renal transplant', basi ungesema ni tatizo gani (according to his/her Dr), kisha ukupe hizo details unazohitaji. Kuwa specific, sababu matatizo ya figo na options za matibabu yake zipo nyingi!
 
Habari njema kwa watanzania hususan wenye magonjwa ya figo Hospitali ya Trauma centre and Well Woman Clinic ilipo masaki imeshazindua rasmi matibabu ya usafishaji wa damu kwa watu wenye matatizo ya figo,matibabu haya kwa kipindi kirefu yalikuwa ni vigumu kupatikana nchini kutokana na mitambo hiyo kupatikana kwenye Hospital chache sana hapa nchini na kulazimu baadhi ya watanzania kutumia gharama kubwa kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibu hayo.

Ni fursa pekee kwa watanzania kutumia vyema bahati hii kwani mbali na matibabu haya pia kuna huduma na mitambo ya kisasa katika kila idara vikiwemo Digital mammography, Dexa unit ni mtambo pekee Tanzania nzima ambao hupima na kugundua kiasi cha Calcium ,ambayo huimarisha mifupa kwani upungufu wake husababisha maumivu mwilini na hupelekea hata kuvunjika kwa Hip Joint (yaani nyonga kwa Kiswahili).

Watanzania tutembelee Trauma Centre iliyopo Masaki mwisho inatizamana na Coral Beach Hotel.
 
Habari njema kwa watanzania hususan wenye magonjwa ya figo Hospitali ya Trauma centre and Well Woman Clinic ilipo masaki imeshazindua rasmi matibabu ya usafishaji wa damu kwa watu wenye matatizo ya figo,matibabu haya kwa kipindi kirefu yalikuwa ni vigumu kupatikana nchini kutokana na mitambo hiyo kupatikana kwenye Hospital chache sana hapa nchini na kulazimu baadhi ya watanzania kutumia gharama kubwa kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibu hayo.

Ni fursa pekee kwa watanzania kutumia vyema bahati hii kwani mbali na matibabu haya pia kuna huduma na mitambo ya kisasa katika kila idara vikiwemo Digital mammography, Dexa unit ni mtambo pekee Tanzania nzima ambao hupima na kugundua kiasi cha Calcium ,ambayo huimarisha mifupa kwani upungufu wake husababisha maumivu mwilini na hupelekea hata kuvunjika kwa Hip Joint (yaani nyonga kwa Kiswahili).

Watanzania tutembelee Trauma Centre iliyopo Masaki mwisho inatizamana na Coral Beach Hotel.

costs za hospitali hii ziko juu sana na ni ngumu kwa mtanzania wa kaiwaida kuweza kumudu gharama zao. Pia wanacharge in US Dollars.
 
Back
Top Bottom