Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Naomba kujua details za tatizo la figo.
Matibabu yake yapoje(dawa na fedha)??
Ni kweli figo haitibiki ?matter of replacement??yaani uwe na mtu ambaye damu zenu ni group moja itolewe yake then awekewe mgonjwa??is it like that??
Kiutaalamu ugonjwa wa figo unajulikana kwa jina gani??
Kuna anko angu anasumbuliwa sana figo na anatarajia kwenda india kwa matibabu sasa, inabidi atoke na mtu huku ili kama ni kureplace basi afanyiwe hivyo au kuna matibabu mengine??
Naomba details, Shukrani!!
Matibabu yake yapoje(dawa na fedha)??
Ni kweli figo haitibiki ?matter of replacement??yaani uwe na mtu ambaye damu zenu ni group moja itolewe yake then awekewe mgonjwa??is it like that??
Kiutaalamu ugonjwa wa figo unajulikana kwa jina gani??
Kuna anko angu anasumbuliwa sana figo na anatarajia kwenda india kwa matibabu sasa, inabidi atoke na mtu huku ili kama ni kureplace basi afanyiwe hivyo au kuna matibabu mengine??
Naomba details, Shukrani!!