Tathmini ya mapato ya kilimo cha michungwa 1000 baada ya miaka 3

Mkuu ushapata jina lake, acha uvivu, nenda maduka ya kilimo utapata maelezo ya kina toka kwa wataalamu wa hiyo fani. Huyu ni mfanyabiashara. kama ulivoona kasema kashauza kwa Tshs 3,000 wakati kwenye tathmini ni Tshs 1,500! usishangae ukitaka kuweka oda kwake akakwambia ni 5,000! lazima itakuwa inapatikana kungine kwa bei chee tu, yeye hawezi kuwa wa kwanza na wa mwisho kwa teknolojia

Ok
 
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.

Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3

kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.

Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!

ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220

Kupunguza stress, production costs and losses ni bora niwe middle men (niwe sole distributor wa hayo machungwa). Mkuu swala zima la uzalishaji sio la masihara ati. Inabidi uwe umejipanga kiuhakika sio kukurupa tu usingizini na kusema nataka nioteshe michungwa. Otherwise Goodluck !!
 
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.

Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3

kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.

Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!

ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220

Tathmin feki hiyo! Ukienda kwenye real environment, chungwa ni tzs 30 au 25. Pili, hujazungumzia prodctn cost? Risk and uncertainities etc. Kwa kifupi mleta mada umeandika kisiasi, huna ujuzi wa kuchambua agribusiness, umeoverstimate revenue, hujatupatia profit margin au return on investment after 3yrs. Takwimu ulizoweka haziwezi kumvutia mwekezaji makini anayejua gharama ya fursa
 
huyu jamaa nilimpigia simu akaniambia nimpatie email anitumie details. Hadi sasa naona kimya tu sasa sijui zilikuwa mbwembe tu
 
Mara kadhaa nikipita eneo hili, macho kwenye mabandiko ya mtaani, yana-changamoto za kutosha kwa teknolojia mpya.
Nikijaribu kupiga picha mchungwa wa miaka 3, machungwa 4000, utavunjika! Lakini tukisimika mirunda kama tunavyofanya kwa Tengeru 97 inawezekana. Machungwa, maembe, mananasi ... yanazaa kwa mpishano/mpangilio wa maji na ukame "stress" kitu kinachoweza kufanyika kwa kutumia mfumo wa umwagiliaji, hivyo kupata misimu miwili ya kuvuna. Japo mwaka wa 3 sitegemei "peak" machungwa 4000/mti, lakini ni kitu kinachowezekana kwa miaka inayofuata tukiwekeza mawazo na rasimali.
Salaam.
 
Hii ndiyo aina ya market promotion ya kitanzania, unawatangazia watu bidhaa yako huku unawatukana, kukashifu na kuwazodoa wateja, ngoja tufuatilie hii the comedy naona napata burudani poa kabisa daah!!

umeona eeee... dogo anajeuri sana..
 
huyu jamaa nilimpigia simu akaniambia nimpatie email anitumie details. Hadi sasa naona kimya tu sasa sijui zilikuwa mbwembe tu

Endelea kuvuta subira, subira yavuta heri. Bado anahudumia wenzako waliotangulia !!!!!!!!
 
Ni vizuri ukaendelea na udalali wa ile gari Tarios kwenye thread yako nyingine kuliko kuleta porojo kwenye kilimo. Nikuelimishe kuwa machungwa na jamii nyingi za citrus family unapofanya 'budding' ni kweli kuwa unapunguza muda wa kuanza kuzaa matunda. Lakini kwa miaka michache ya mwanzo matunda huwa ni kidogo, kwa vile mti unajaribu kuzaa kulingana na uwezo wake in terms of strength, ndio maana ukiwa mkulima mzuri unashauriwa kupunguza baadhi ya maua au later matunda ili mti usielemewe na kuvunjika. Sasa kimantiki si kweli mchungwa wa miaka mitatu kubeba machungwa 4000, labda machungwa hayo yawe na saizi kama karanga....!

Wwahahahahahahahhahahhaaaa!...sasa mkuu unataka kunivunjia heshima mbele za wakwe, yaani nimecheka mpaka nimegalagala sakafuni, wananiuliza kulikoni mimi nacheka tu!..dah, jf kiboko.
 
Thread ya January hii, mpaka leo jamaa anasubiriwa alete picha ya huo mchungwa ili watu waamini naona imeshindikana....Jina la huo mchungwa alilotoa halipo duniani, nadhani ni aina mpya ambayo imezalishwa tanzania! Machungwa elfu 4 siyomchezo, nikishuhudia kwa macho basi hata mimi nitang'oa mikorosho yote shambani kwangu nipande michungwa hiyo! Mkuu Kahtan Ahmed umesahau thread ya muhimu sana huku njoo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
iyo michungwa ipo ila ya 500 had 1000
unajua apa jf lolote linaweza tokea Mungu naye huwa anavuna watu kwa hiari yake tena bila kufikiria, bv hope jamaa ako live
 
Habari wana jf wale waliokosa ile miche ya michungwa tayari imeandaliwa tayari kama anaehitaji kwa muda huu u r welcome
 
Mkuu nimekupata nitakutafuta nahitaji hiyo mbegu nina shamba kisarawe la hekari 10 nataka kupanda lote michungwa.Ila nadhani umekosea, mchungwa mmoja unazaa machungwa 4,000 au 400? Hapo tunaomba ufafanuzi kidogo.Namba yangu.0655 829840
 
Habari wadau
nimepata eneo kama eka na nusu maeneo ya kisarawe ambalo lina machungwa na machenza,nataka niongeze mingine nifanye kilimo kibiashara.
Nahitaji kupata tathmini ya soko la uhakika la machungwa na machenza kwa wazoefu wa kilimo hiki,pamoja na gharama za kuendesha kilimo.
 
Ila hata hivyo niliacha namba ya ngu ya simu na wengi wenu mmenipigia na pia wapo niliwauzia moche na sasa nineridi jf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom