Laigwanan76
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 551
- 153
Mkuu ushapata jina lake, acha uvivu, nenda maduka ya kilimo utapata maelezo ya kina toka kwa wataalamu wa hiyo fani. Huyu ni mfanyabiashara. kama ulivoona kasema kashauza kwa Tshs 3,000 wakati kwenye tathmini ni Tshs 1,500! usishangae ukitaka kuweka oda kwake akakwambia ni 5,000! lazima itakuwa inapatikana kungine kwa bei chee tu, yeye hawezi kuwa wa kwanza na wa mwisho kwa teknolojia
Ok