Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.
Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3
kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.
Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!
ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220
Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3
kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.
Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!
ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220