The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kuna aibu zingine ni za kushangaza sana...........
Nilikuwa natazama tv mara habari za michezo
zikafika akatokea mwenyekiti wa taswa.
Eti wameaaamua kumpa jk tuzo ya maalum kwa kujali michezo........
Siku zote walikuwa wapi?????
Ni mpaka kampeni zianze ndio waje na tuzo yao?????
Mimi ningekuwa mwanachama wa taswa ningejitoa..
Upuuuzi gani huuuu????????????
Nilikuwa natazama tv mara habari za michezo
zikafika akatokea mwenyekiti wa taswa.
Eti wameaaamua kumpa jk tuzo ya maalum kwa kujali michezo........
Siku zote walikuwa wapi?????
Ni mpaka kampeni zianze ndio waje na tuzo yao?????
Mimi ningekuwa mwanachama wa taswa ningejitoa..
Upuuuzi gani huuuu????????????