Chills
Member
- Aug 24, 2018
- 51
- 74
Habari za jioni wadau!
TARURA na mfumo wao wa maegesho maeneo ya mijini imekuwa na udanganyifu mkubwa sana.
Imetokea mara 2 naangalia kama nadaiwa nakuta deni na ukifuatilia naonesha maeneo ambayo sijawahi kwenda na nilipata fursa ya kupata msaada wa mtu wa TARURA nikaambiwa walipiga picha system ikagoma na ikabidi waingize namba manually ndipo walipokosea na hivyo kunifutia deni.
Imetokea tena leo katika kuangalia nimekuta nadaiwa kama elfu 6 hivi nikamtafuta mtu wao anisaidie kuangalia inaonekana nilipaki maeneo ya Saba saba na Uwanja wa Taifa. Mimi maeneo yale kwa mara ya mwisho nimeenda zaidi ya miaka mi 3 iliyopita.
Je ni wangapi wanabambikiwa madeni?
Je napataje msaada kutatua kama simjui mtu TARURA?
TARURA na mfumo wao wa maegesho maeneo ya mijini imekuwa na udanganyifu mkubwa sana.
Imetokea mara 2 naangalia kama nadaiwa nakuta deni na ukifuatilia naonesha maeneo ambayo sijawahi kwenda na nilipata fursa ya kupata msaada wa mtu wa TARURA nikaambiwa walipiga picha system ikagoma na ikabidi waingize namba manually ndipo walipokosea na hivyo kunifutia deni.
Imetokea tena leo katika kuangalia nimekuta nadaiwa kama elfu 6 hivi nikamtafuta mtu wao anisaidie kuangalia inaonekana nilipaki maeneo ya Saba saba na Uwanja wa Taifa. Mimi maeneo yale kwa mara ya mwisho nimeenda zaidi ya miaka mi 3 iliyopita.
Je ni wangapi wanabambikiwa madeni?
Je napataje msaada kutatua kama simjui mtu TARURA?