Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,174
kama wewe ulivyosema hujui philisophy ya mapenzi nami nitasema sijui kwa nini Tandika kuna vibaka wengi ama kwa nini watu hawapendi watoto wao wacheze mitaa fulani kwa hoja kuwa wataharibiwa tabia.Ukiishi mahali fulani kwa muda utaathiriwa na tabia au mwenendo fulani na hiyo ni positevely or negatively kama ambavyo wasukuma husifiwa kwa upole wao.
Moyo na fikra ni kama CD amabyo haijajaa nyimbo kila wakati hurekodi nyimbo mbaya au nzuri kutokana na unachokipenda.
Ni kweli inawezekana ila inabidi uwe umekaa muda mrefu kama miaka 10 kwa ungangari wa wana Tarime ndio unaweza kuwa kama wewe kwani mtu akiingia Tarime au mkoa Mara huwa ana perception flani mpaka akae mwaka mzima ndi anaona tofauti kidogo ila watu wa Tarime ni wazuri kama hutoingilia anga zake mara nyingi mke wake au binti yake anaetegemea kupata ng'ombe hivi karibuni.