MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Ikiwa mnataka kujiunga na Vuguvugu la Mabadiliko, na ikiwa kweli mnataka mabadiliko, wakati ndio huu.
- Msisubiri mpaka huko mliko mfukuzwe ndio mjiunge na M4C
- Msisubiri mpaka mje kutemwa kwenye kura za maoni katika vyama vyenu ndio mje mjiunge na M4C.
- Msisubiri mpaka 2015 ndio mje mjiunge na M4C.
Kwa hivyo wale wote, kutoka vyama vyote vyengine, wanaotaka kujiunga na Vuguvugu la Mabadiliko, mnapewa mpaka tarehe ya mwisho, 31-12-2012. Baada ya hapo tunaweza kuwa na wasiwasi na dhamira yenu.
Na mkumbuke, mtapokuja muwe mnakuja kwa kukijenga na kukiendeleza chama, sio kufuatia utawala, sembuse uongozi.
- Msisubiri mpaka huko mliko mfukuzwe ndio mjiunge na M4C
- Msisubiri mpaka mje kutemwa kwenye kura za maoni katika vyama vyenu ndio mje mjiunge na M4C.
- Msisubiri mpaka 2015 ndio mje mjiunge na M4C.
Kwa hivyo wale wote, kutoka vyama vyote vyengine, wanaotaka kujiunga na Vuguvugu la Mabadiliko, mnapewa mpaka tarehe ya mwisho, 31-12-2012. Baada ya hapo tunaweza kuwa na wasiwasi na dhamira yenu.
Na mkumbuke, mtapokuja muwe mnakuja kwa kukijenga na kukiendeleza chama, sio kufuatia utawala, sembuse uongozi.