CUTE
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 1,230
- 591
ndio hawezi kupatathanks for your information so kwa mfano kama ameacha kubleed tarehe 10 mwezi wa 3 inamaanisha tarehe 11 na 12 hawezi kupata mimmba is it?
ndio hawezi kupatathanks for your information so kwa mfano kama ameacha kubleed tarehe 10 mwezi wa 3 inamaanisha tarehe 11 na 12 hawezi kupata mimmba is it?
wanajamvi naommba tushare knowledge kidogo plz kwa yule anayejua ni siku gani ambazo m,ke hawezi kupata mimba wakati wa tendo la ndoa kwa kwa anayejua plz
thanks in advance
AMBAYE ANA CYCLE YA 28 days anakuwaje na mwenye cycle ya 32 days anakuwaje?
here is the drill, Ovulation hutokea siku ya 14 toka siku ulipoanza breed! so siku ya kupata mimba ni siku ya 11,12,13,14,15,16 toka ulipoaanza breed!in a very simple layman language, siku zingine bebenaga bushike if you avoid these days ur safe
Siku ya tarehe 30 na 31 ya mwezi wa pili kila mwaka.
kwanini musitumie condom jamani
any way wanatofautiana kwani wale wanaozunguka 28days wanapata 14 so wewe unatakiwa usikutane naye kimwili kuanzia tar 12 mpaka 16 hapo inategemea na mbegu zako mana zikiwa dhaifu unaweza hata siku yenyewe ukafanya na asipate pia
na wale wanazunguka 32 unatumia 16 so utaacha kuanzia tar 14 mpaka 18
na kwa wale ambao hazitabiriki ni anaanza kuhesabu kuanzia siku alobleed hadi ya 14.ataacha cku 2 nyuma na 2 mbele yake...............
na kama hajui kabisa basi wewe ndio muangalie mana siku iyo k itakua ya moto sana kupita kiasi kama tanuru na maji maji yale yatakua mazito na yananata sana na hata kama ilikua panaje siku iyo itakua imejibana kidogo na itakua mnato zaidi ya manatona atakua na stimu za kufa raia......(wote mutanogewa sana siku iyo)
Akili yako haina tofauti na ID yako
kwanini musitumie condom jamani
any way wanatofautiana kwani wale wanaozunguka 28days wanapata 14 so wewe unatakiwa usikutane naye kimwili kuanzia tar 12 mpaka 16 hapo inategemea na mbegu zako mana zikiwa dhaifu unaweza hata siku yenyewe ukafanya na asipate pia
na wale wanazunguka 32 unatumia 16 so utaacha kuanzia tar 14 mpaka 18
na kwa wale ambao hazitabiriki ni anaanza kuhesabu kuanzia siku alobleed hadi ya 14.ataacha cku 2 nyuma na 2 mbele yake...............
na kama hajui kabisa basi wewe ndio muangalie mana siku iyo k itakua ya moto sana kupita kiasi kama tanuru na maji maji yale yatakua mazito na yananata sana na hata kama ilikua panaje siku iyo itakua imejibana kidogo na itakua mnato zaidi ya manatona atakua na stimu za kufa raia......(wote mutanogewa sana siku iyo)
shine umeona ehh heeeAkili yako haina tofauti na ID yako