Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Da kweli jf ni darasa tosha,sasa wadau mm sijaelewa siku ambazo ni za hatari na siku ni salama.au ni hiyo moja tu ndo ya hatari?
 
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.

Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.

Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.

Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.

Mfano wa kauli za Lowassa;

1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"

Na nyingine nyingi zenye utata!

Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??

Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
Hizi bangi ni halali zopigwe marafuku
 
Wakuu,

Nakubaliana kwa kiasi fulani na wachangiaji wengine waliotangulia. Lakini natofautiana nao juu ya jambo moja tu, nalo ni namna wanavyoweza kui-pin point siku ile ya kilele (i.e fruitful/productive/fertile day), hapa nina maana ya siku ile ambayo wao wanaiita siku ya 14.

Ikumbukwe kuwa wanawake wanatofautiana katika suala zima la urefu wa MENSTRAL CYCLE, yaani idadi ya siku kati ya period ya kwanza hadi ile ya pili inayofuatia. Kundi kubwa la wanawake wana fall kwenye range ya siku 22-35. Japo walio-normal wana siku 28. Vile vile kuna wengine huwa na menstral cycle mbili, yaani fupi na ndefu. Hivyo walio na menstral cycle fupi, mathalani wale wenye siku 22, huwa vilevile wana kipindi kifupi sana cha kutokwa na damu (period), yaani damu inaweza kukatika ndani ya siku 2 tu! Na wale wenye siku 35 au zaidi huwa wana kipindi kirefu sana cha kutokwa na damu (period) ambapo wengine huwachukua hata siku kati ya 5 hadi 8.

Hivo basi, kama wewe ni mwanaume inakubidi umwelewe vizuri mwenzi wako juu ya hayo niliyoyasema hapo juu ili ikusaidie kui-pin point ile fertile day (yaani siku ya mimba).

Swali: Je siku ya mimba ni ipi?

Jibu lisilosahihi: Watu wengi na hata baadhi ya wanasayansi wanafikiri siku ya mimba ni ile ya 14 baada ya dalili za kwanza za damu ya hedhi! Wao huhesabu kuanzia siku ile damu ilipoanza kutoka hadi siku ya 14! Utaratibu huu ume-prove failure! Hii ni kwa sababu wanawake wana menstral cycle zinazotofautiana kwa urefu. Hivo basi jibu sahihi ni hili hapa chini:

Jibu sahihi:
1. Kwanza inabidi ujue kama mwenzi wako ana menstral cycle ipi? Fupi au ndefu, ama zote mbili?

2. Baada ya kujua urefu wa menstral cycle ya mwenzi wako then pin point siku ile ya mwisho halafu uhesabu backwards siku 15 kuanzia siku ile ya mwisho. Siku hii ya 15 kuanzia mwisho ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote!

Once you know the '15th day' from the last one, then you can manoeuvre whatever you want to get her pregnant or to avoid pregnancy!

With this new approach of pin pointing the fertile day you will find that all women (menstral cycles) are covered, whereas the old way of counting fits only to women whose menstral cycles are 28 days!
Nakubaliana na wewe mkuu. But unawashauri vipi wanawake wenye irregular menstrual cycle, wafanye nini ili wasitumie artificial family planning
 
Tarehe 24-25 ndo uhakika zaidi ila Mkuu, kwenye mkao asiwe yeye ndo amekaa juu yako, muweke chini yeye. Baada ya sex asitumie vinjwaji kama Coca cola, pepsi, sprite n.k
Kazi njema!
ndugu yangu nisaidieni mke wangu anmzunguko wa siku 32 mpka 33 hivo siku ya hatari kwake ni ipi?mana mwez uliopita aliona siku zake tar 31 mwezi huu kaona tar 1/12 na anatamani kweli mtoto naomba msaada wenu.
 
Wakuu mi naomba kuuliza swali, kama mwanamke amebleed kwa siku mbili unahesabu hizo hizo mbili manake kuna mtu aliniambiaga ile siku mwanamke anayomaliza kubleed hata kama kableed kwa siku 1 unahesabu tano then unaendelea, ni kweli Wakuu? Naombeni ufafanuzi Wakuu wangu nisije nikaharibu huku, kumpa mtoto wa mtu mimba saii noma.
 
Mimi hata kama mwanamke amebleed kwa siku moja nilikua nahesabu tano halafu naendelea na zingine, ni sahihi Wakuu?
 
Na x wangu yeye mwezi juzi alipata hedhi tar 23 na mwezi ulio pita yani mwez jana,aliingia mwezini tar29 je nisiku ipi ya hatari ambayo anaweza kupata ujauzito?Japo kuwa mpangilio wake wa hedhi huwa haueleweki kama nilivyo eleza hapo
 
Andika vizuri kama mtu uliyekomaa akili ili uweze kusaidiwa vizuri.. Halafu Nina swali kaka ina maana huyo x wako mimba Yake wewe inakuhusu nini au x UNAMAANISHA nini
 
Na x wangu yeye mwezi juzi alipata hedhi tar 23 na mwezi ulio pita yani mwez jana,aliingia mwezini tar29 je nisiku ipi ya hatari ambayo anaweza kupata ujauzito?Japo kuwa mpangilio wake wa hedhi huwa haueleweki kama nilivyo eleza hapo
Sasa mzunguko wa hedhi wa x wako wewe wa nini?????
 
Back
Top Bottom