Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
wewe jamaa kaa kimya yaani unachemka mpaka noma! aidha unaongea sana bila kufikiria au ni mweupe, a dingus...inaboa kukusoma!!
Mwambie Invisible anifungie na nitaacha kuongea,na kwanini unanitusi..Mie sasa naona kuna kitu ambacho invisible anikebebe,mtuambie kama siyo mtu wa CHADEMA na una mawazo mazuri usichangie.hauwezi kuniambia maneno kama haya na ukaachwa..umeni insult
Kama inaboa kwanini huwa unapoteza muda wako kusoma post zangu.Sifikiri kuacha kuandika na nitaendelea kuandika mambo yote yanayokuboa