Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,286
huyu hilo swali atalikuta polisi central, akishindwa kujielezea lazima awe katika target za polisi
ila kweli kwamba silaha ni hatari sana tofauti na wengi wanavyofikiri, huwezi kumwambia hata mkeo akuchukulie ndani pia ni hatari kwa uhuru wako unaweza kwenda jela hivihivi kama taratibu zitafuatwa inavyotakiwa.
Bastola/Bunduki si nzuri sana kumiliki,ni hatari kwako pamoja na familia,kuna mazingira yanakulazimu kumiliki Bastola kwa mfano dereva wa malori,site engineer na kazi zinazofanana na hizo lakini kama ni sifa ka za mcharo kuringishia watu bar au majirani haikufai maana unaweza ukaja enda jela hivi hivi.